Pata jibu kamili kuhusu swali lako
naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 826
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante kwa kutuerimisha na nikwa je mimba ya wiki moja unaweza ukapima na ikajulikana?
Minmi nikila tu kitu kidogo tumbo linajaa Kama he's yaan inanichukua muda kweli tumbo limevimbiana na Hilo Ni tatizo gani
Samahani kwausumbufu mim sijaziona siku zangu ila kama nikipata sehemzangu naona kama kuna kivimbe kwandani upande wa kulia siku za nyuma hakukuwepo sasa sijajua ninini
je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo