Pata jibu kamili kuhusu swali lako
naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 826
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Katika funga za kafara kuuwa paka nayo ni aina ya funga ya kafara
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Mm natokwa na uchafu mweupe mzito nasijisi km Nina mimba shida itakuwa Nini daktari
Je kwamfano nilikuwa kwenye siku zangu nanikafanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi hapo je inakuwaje
Hello habari za kazi samahani naomba kuuliza je mtoto akizaliwa na tatizo la tundu kwenye moyo Kuna uwezekanao akawa mlemavu WA viungo?
Tatizo langu, ni ku kuwa na mawazo sana,kukosa furaha na kukosa umakini hata ninaooelekezwa jambo. Nifanye nni kuepuka haya?