Pata jibu kamili kuhusu swali lako
naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 826
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ni bety kutoka Arusha, nauliza je bamia unaweza kusaidia kutibuvidonda vya tumbo??
Majibu ya UPT yameonesha Nina ujauzito..ila utra sound inaonekana mji wa mimba ndani yake hamna mtt nashindwa kuelewa kiufupi nimechanganyikiwa..Naomba msaada wa hili tatizo
Doctor kama mimba imetoka na niyakwanz unaweza beba mimba tena ndani ya mwezi mmoja mana sina panaponiuma
Nina fangasi za mdomoni naomben ushaur yan mdom wang umekos hat muonekano mzur
Habari za jioni mm Nina hali ambayo siilewi ninachoka muda mrefu na mapigo ya moyo yanaenda mbio yaani hata nikitembea umbali kidogo tu hoi
Habar yak ndugu,naomb kuuliz hv condom zina uwez wa kuzuia virusi vya ukimwi kwa 100%?