Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 122
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je mtu ambae haswali tu lakin hamshirikshi Allah je hukumuyake
Ninapata maumivu chini y tumbo japoo nlienda hospitali wakanambia ni infection mbalimbali zipo tumboni wakanipa dawa za kutumiaa baada ya hapoo naonaa sipati hedhi tumbo langu linajaa gas
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.
Nilipata ajali nanilikuwa nimefungiwa cheni zakushikilia taya sasa zimetolewa lakini changamoto meno maumivu makali sana
Mlo anaotakiwa kula mwanamke mjamzito kuanzia asubuh mchan mpak jion n mlo Gan sahihi
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu