Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 122
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mtoto wangu nilimzaa akiwa na low birth weight na huku akawa na tundu kwenye moyo na mshipa unaosambaza damu safi uko intact sasa nimekua na hofu kidogo sababu kaumbo Jake ni kadogo viguu vyembamba na vimikono nikawa na wasiwasi
Meingia kwenye period tarehe 10 nikakutana na mwanaume tarehe 22 p2nilimeza kesho yake jioni je naweza para mimba
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??
Habari naomba niulize mtu mweny presha akipewa daw ndo anakunywa miaka yote? Au itakapo kaa sawa anaweza acha dawa nakupunguza chumvi na mafuta
Mwanamke atakapo tokwa na mimba anatakiwa kukaa mda gani bila kukutana na Mme wake kimwili
Pia Kuna uwezekano mwanamke kua na ujauzito pasipo discharge yaani kutokwa na damu