Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 122
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin
Nimetumia dawa mefloquine Leo siku ya 5 naona mwili unapata joto nakichwa kuuma.nn sababu
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli
Mfano mtu akikanyaga kiwembe cha muathilika alf baada ya masaa mawili bila ya kunawa miguu akakukanya pajan lkn na wewe unakidonda tumboni sasa wakati wakusafisha ukapitisha sabuni ulipokanyagwa na ulipookuwa unakidonda je unaeza pata ukimwi
Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani
Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia
Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?