Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mama mjamzito anatakiwa kufanya mapenzi mpaka miezi mingapi
Mwanamke mjamzito anaweza kufanya mapenzi muda wowote akiwa na ujauzito wake maadamu amwe anajiweza ama anaridhia kufanya hivyo. Hata hivyo kuna mambo ya kuzingatia:-
1. Tendo lisifanyike kwa kumlazimisha
2. kuangalia mikao ambayo haitamdhuru mtoto
3. Usimlalie tumbo lake
4. tendo lisifanyike kwa nguvu
5. Pia lisifanyike kwa muda mrefu sana.