SWALI

Mama mjamzito anatakiwa kufanya mapenzi mpaka miezi mingapi

Swali No. 386




JIBU

Mwanamke mjamzito anaweza kufanya mapenzi muda wowote akiwa na ujauzito wake maadamu amwe anajiweza ama anaridhia kufanya hivyo. Hata hivyo kuna mambo ya kuzingatia:-

1. Tendo lisifanyike kwa kumlazimisha

2. kuangalia mikao ambayo haitamdhuru mtoto

3. Usimlalie tumbo lake

4. tendo lisifanyike kwa nguvu

5. Pia lisifanyike kwa muda mrefu sana.



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 18-02-2023-12:15:47 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA