Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 238
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
dr nilipita saloon za kisasa hizi bahat mbaya nikashawishika ujana huu bc dada akanifanyia massage Yani handjob au kufanyish punyeto kwa kunishk shk sehem zang nyet ,,naulz km aiwez kuwa risk kw maambukiz maan zmepit week 3 nikapat mafua week nzima,
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
Hey!! Swali lang ni je mtu akiw na damu nyingi mwilin mwakee akitakaa kupunguz bila kutumia vidongee anashauriwa kufanya nn?
Huwa nikiamka asubuh nakuwa n maumivu makali sn y kichw mgongn unauma San nachoka sanaa ata usingz uishii nachokaa sanaa
Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto
Samahan nilikuwa naomba kuulizia,utando mweupe mdomoni kwenye mashavu, inasababishwa na mini?