Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 238
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari, ninauauzito wa wiki3 lakini napatwa na maumivumakali chini ya tumbo nakiuno pia nikichuchumaa kupata ajandogo natokwa damu, nikijilaza aitoki naomba ushauri nifanyeje mwanangu akuesalam!
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Ningependa kuuliza nimekutana namwanamke kimapenzi bilakutumia kinga baada yasiku 2nikaanza kupata maumivu ya kicwa na sasa wiki inaelekea kuisha nikiwa bado Nina hayomaumivu je inawezakuwa ishala ya maambukizi ya ukimwi?
Mm nina swali nina skia sehemu ya matiti kama vile kichomi maka vitu vina tembea tembea sijui nini na nime pima mimba kama mala mbili sina sasa shida nini yani nina kosa laa Chuchu azi umi lakini nina skia kama vitu vina tembea tembea kwenye matiti ni saidie
Nmefanya mapenzi siku salama lakini mpaka sasa sioni siku zangu nn shida
Habari za jioni mm Nina hali ambayo siilewi ninachoka muda mrefu na mapigo ya moyo yanaenda mbio yaani hata nikitembea umbali kidogo tu hoi