Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 238
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Je naweza kua mjamzito na chuchu zisiume?
Niko na swali hapa nilitoa mimba na week mbili zimeisha na natokwa na discharge za white ukeni na sometimes nakuwa na hamu ya kufanya mapenzi n a inatoweka ghafla pia Niko na mawazo sana nikapima leo kipimo cha mkojo nikapa majibu mistari mbili moja iko clear na ya pili haiko clear hiyo inamaanisha nini
Shida yangu mikono inalegea na kukosa nguvu pia kufa ganzi na halafu miguu pia inakosa nguvu na maumivu ya mwili wote hasa kifuani
Habari za jioni mm Nina hali ambayo siilewi ninachoka muda mrefu na mapigo ya moyo yanaenda mbio yaani hata nikitembea umbali kidogo tu hoi