Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kutokwa maji yenye harufu na maumivu ya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 102
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Muda wa kujifungua umefika na Kuna dalili za damu ukeni je no dalili moja wapo ya uchungu
Mlo anaotakiwa kula mwanamke mjamzito kuanzia asubuh mchan mpak jion n mlo Gan sahihi
Kinywa changu kina Matatizo mdomo kutoka alufu Na ukipiga mshwaki alafu inahamia puani sijuwiiii chanzo. Ni nini?
Jaman naomba kusaidiwa nimekunywa majibu kwà lengo la kutoa mimba changa lakini tumbo linaniuma chini ya kitovu,nimeharisha ,it's mzigo sanaa umetoka ukiwa na rangi ya maziwa na tumbo likiwa linauma ni kama vile nataka kuingia period je mimba umetoka au bado
swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu
Nasumbuliwa na acid tumboni inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??