Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kutokwa maji yenye harufu na maumivu ya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 102
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je p2 inaweza kushindwa kufanya kazi?
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka
Je baada ya kugundulika na malaria ,ukianza kutumia dozi hukiwa unaharisha kunakoma baada ya muda gani?
Je unawezaa kutokaaa maji maji meupee na kiuno kumaa nakuachiaa ni dalili za kujifungu pia ama mtoto anageukaa tu
Mama mjamzito akishajifungua hurudi katika hali ya kawaida
Je kwamfano nilikuwa kwenye siku zangu nanikafanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi hapo je inakuwaje