Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kutokwa maji yenye harufu na maumivu ya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 102
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Complication za kutoa mimba changa mfano wiki mbili na zle za mimba kubwa mfano kuanzia miez miwili ni zp
Habari me ni msichan mwenye umri wa miaka 22 swali langu ni kwamba ni kitu gan kinachosababisha maumivu ya chini ya tumbo wakati wa kujamianaa???
Nina umri wa miaka 19 jinsia wa kiume ninatatizo la kuwashwa kwenye korodani na ninatokwa na vipele baada ya kujikuna mbaka leo hii ninasiku ya 6 na tatzo hili n mala ya kwanza kunitokea naomba msaada
Hbr samahi maumivu ya misuli kukazaa, kuuma sehemu ya chin ya tumbo na kiuno itakuwa shida gan hiyo
Hi ,mm nko week 40 sai na naskia uchungu upande wa chini wa tumbo kama maumivu ya periods lakini sitoki chochote inawezakuwa ni nini?
Hello nimeanza hedhi tarehe 8-12 na nina mzunguko wa siku 21 ,je siku ya kupata mimba ni zipi? Nahitaji mtoto