Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm nilienda nilifanya ngono siku ya Saba je nimjamzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 246
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Dokta tatizo la kuwa na maumavu juu ya kitovu baadae ya kumaliza mwezi amejifungua Nini chanzo?
Naomba msaada mm nahisi kichefuchefu na sitapiki mdomoni mate machungu na kichwa kinauma je xhida ni nn na mimba sina
Samahani ninatatizo lakutok na uchafu pembeni kwenye sehemu za siri naomba kufahamu ni tatizo gan
nasumbuliwa na chuchu za maziwa kuuma wiki ya pili na mgongo kuuma hizi ni dalili za mimba
Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv