Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ni msichana wa umri wa miaka 25, nimeingia kwenye hedhi mara ya mwisho tarehe 15 mwezi wa 3, nilibadilisha mazingira na kwenda mkoani kwenye wiki hiyo ya hedhi na nilivyorudi nikakutana na mwanaume siku ambayo kwenye mzunguko ilikuwa salama. Hedhi ya mwezi wa 4 imechelewa imeanza wiki ya 3 sasa, nimepima kwa UPT imeonyesha positive. Je inawezekana kuwa nilikutana na mwanajme siku ya hatari kwamba mzunguko ulibadilika au vipi !!?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1189