Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mala nyingi fangasi yangu inajirudia jirudia sana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 444
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Natamani kufahamu ya uvaaji condomu na uvuaji mara tu baada ya tendo kuisha
Nini huduma ya kwanza kwa mtu aliye dondoshwa na presha ya kupanda
Kuruka kwa tarehe ya hethi inaweza sababisha kuto kushika mimba
Niko na swali hapa nilitoa mimba na week mbili zimeisha na natokwa na discharge za white ukeni na sometimes nakuwa na hamu ya kufanya mapenzi n a inatoweka ghafla pia Niko na mawazo sana nikapima leo kipimo cha mkojo nikapa majibu mistari mbili moja iko clear na ya pili haiko clear hiyo inamaanisha nini
Mala nyingi huhisi maumivu chini ya kitovu kiuno mgongo huhisi baridi na maumivu makali mweli mzima pale Ninapo kua namkojo au au njoo kikubwa huhisi maumivu kwenye mwili au baridi Kali kukosa hamu ya kula naomba ushauli wenu na jinsi ya kutibiwa kwani nateseka hata hamu ya mahusiano me Sina kabisa
Majibu ya UPT yameonesha Nina ujauzito..ila utra sound inaonekana mji wa mimba ndani yake hamna mtt nashindwa kuelewa kiufupi nimechanganyikiwa..Naomba msaada wa hili tatizo