Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mala nyingi fangasi yangu inajirudia jirudia sana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 444
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na wiki 36 ya ujauzito ila nasiku kama tano hivi na halisha na tumbo kuuma je niuchungu
Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo
Kwahyo viupele vya rangi nyeupe na rangi ya dhambalau haiwez kuwa dalili ya ukimwi?
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?
Hya maumivu n yatadumu kwa muda gan au mpaka nijifunguee
Mm cjaona cku zangu ila najawa na gesi tumboni mara kwa mara na tumbo kuuma kdgo chin ya kitovu je ni mimba?