Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mala nyingi fangasi yangu inajirudia jirudia sana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 444
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kugusana na mwanamke ambaye unaruhusiwa kumuoa kama mkeo ukiwa na udhu je habatwilishii udhuu?
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Nina miaka 49, mwanamke.nimeenda hospitari nimeambiwa na presha nimepewa vidonge ila bado miguu inauma sio kawaida wiki mbili zimepita naomba msaada nifanyeje
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.
Nilifany mapenz nikiwa kweny siku Salam je hiyo ni sababu ambayo imefany nivuruge mzunguko Wang wa hedhi ni siku ya pili sasa sijaon siku zang