Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala
utaiswali kama unavyoswali swala nyingune ama sunnahnyingine. Kitu kilichibadilika hapo ni muda wa kuswali.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu Ni hili,,,
"Thibitisha kuwa khalifa Othman alimrejesha mjomba wake kutoka uhamishoni kwa lengo gani?
samahani mimi nilikuwa mkirst nimeslm kuwa muisalm nimeolewa je nahitaji kujuwa kila swal inalaaka ngap samahani
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
mimi muisilamu hila akuna ninacho kijua msaada wenu nataka kitabu cha kiswahili nijifunze km itawekana
Nahitaji kujua UDUGU ni nini? Faida za udugu na hasara za kuvunja udugu katika uislam
Mm naomba ufafanuzi ikiwa mume alikaa sehemu nakusema maneno haya " mm mke wangu nishamuwacha" na mke wake hakumwambia hilo lkn ameisema kauli hio. Jee talaka hii itakuwa imesihi ?