Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala
utaiswali kama unavyoswali swala nyingune ama sunnahnyingine. Kitu kilichibadilika hapo ni muda wa kuswali.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?
Asalam alkum mimi nimepewa talaka tatu pasipo na shahidi yoyote je hapo talaka amenipa kwa usahihi?
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?