Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanin uislam unapinga kampen juu ya kudhibit uzazi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 741
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
As salaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh. Tukio la mwanzo la kuvunjwa Al qaaba lilikuaa mwaka gani?
Asalsm
Alayku.nilikuwa nauliza yafaa kumpa mamamdogo zakatil fitri
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Mke atahitaji kukaa eda kwa muda gani nyumbani.na yapi anakatazwa mwanaume kwa kipindi hiko cha eda?.baada ya muda wa eda kuisha na hakuna maelewano je ruksa kwake kuondoka na ndoa kuvunjika??
Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana