Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je ukinywa vidonge vya vitamin E unaweza kunenepa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1041
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari dr Ikiwa mimba iliharibika ukakaa kama wiki mbili ukakutana na mwenzako ukasex na ukatumia p2 ndani ya masaa4 kuna uwezakano wa kupata mimba
Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili
nasumbuliwa na chuchu za maziwa kuuma wiki ya pili na mgongo kuuma hizi ni dalili za mimba
Nilipatwa na kisonono Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri
Nini huduma ya kwanza kwa mtu aliye dondoshwa na presha ya kupanda
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??