Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwa nini mnasema nguruwe ni najisi? Na tukila hatutendi dhambi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 823
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleikum Mimi nna swali nataka hoja zinazo thibitisha kuwepo siku ya mwishoo Kwa ushahidi wa ayaa?
je utakapokula daku ukisikia adhana ya kwanza unatakiwa uwache Kula au umalizie kula mpaka adhana ya pili
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu vp Hali zenu mimi nilikuwa nahitaji kitabu sijajua kinaitwaje ila hicho kitabu kina mal islam kina nguzo za uislamu kina nguzo za lmani
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?
Kuna mafunzo ambayo waislamu wanayapata kutokana na historian ya maimamu wa fiqhi
Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?