Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mtu anayewaudumia waathirika wa vvu lazma naye awe ameathirika?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 48
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Tarehe 25 mwezi uliopita hedhi yangu ilianza na siku ya tatu nikafanya tendo LA ndoa sasa inaeza kua nilipata ujauzito hau LA kwa sababu naumwa na mgongo na pia matiti zinauma na matiti zenyewe zimebadilika , sasa Jana nikaenda hoc nikapimwa nikaambiwa Sina ujauzito ,sasa tafadhali naomba mnisaidie
Me naomba kuulza ivi kuna siku maalumu ukifanya tendo la ndoa endapo mke atapata ujauzito bc mtot atakuwa wa kiume ipo siku iyo?
Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn
Shida yang Ni kuwa mwez wa pil tarehe 28 ilikuw cku ya mwisho ya period akin ilikuw ya tofaut San nilitokwa na uchafu tu so sijui kam ilikuw Ni hedhi
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi