Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mtu aliezidiwa akjitoa manii usiku wa Ramadhan je inakuaje?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 916
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka
Naomba kuuliza zipi sababu zilipelekea kuanguka dola ya kiislam
asalam aleykum nataka kuhuliza mwanamke mwenye hedhi anaruhusiwa kusoma quran aliyo hifazi kichwan mwake yan bila kushika msahafu
Eleza kwa muhtasari kwa nni waislamu ktk jamii yako hawafikii lengo la kwao pamoja.na kutekeleza ibada maalum
je ni dua ipi imependekezwa zaidi katika swala hii ya tahajjud
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?