Pata jibu kamili kuhusu swali lako
je katika uislam maulid zinaruhisiwa?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 883
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jee ukimpa mkeo talaka kwa hasira bila ushahidi yoyote yapita.
Assalamualaykum Mimi suali langu linasema Elezea mitihani mitano aliyopewa nabii Ibrahim na Mola wake na namna alivyoifaulu mitihani iyo
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
Kuna maeneo mengi sana ambayo yanadhihirisha kuwepo kwa mwenyezi mungu .Chambua kwa mifano maeneo matano 5(tu)
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika