Pata jibu kamili kuhusu swali lako
je katika uislam maulid zinaruhisiwa?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 883
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?
Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?
Je nihadithi zipi zilizo onesha kuwa mtume ame swali tarawehe kwa rakaa 11
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
asalam aleykum samah naomba kuuliza,endapo nimemkuta imamu anaswalisha ile nimefika tu akarukuu na mimi nikarukuu je nitaesabika niko nae sawa kama ni swala ya adhuhuri.
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani