Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 115
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
kwenye kibofu changu Cha mkojo Kuna maji maji ambayo hayakauki na nahisi maumivu makali yasiyoisha sijajuaa shidaa ni nini
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Mim na mume wangu tulienda kupima ospitar turi kutwa na ugogwa wa UTI tuli pewa dawa lakini tuka mariza dozi leo ule ungwa ume rudi tena lakin ana twako na ute kama usaa pia ana washwa jee tatizo nini?
nasumburuwa na misuri kila siku yaani naitaji ushauri wakoo
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu
Mimi ni bety kutoka Arusha, nauliza je bamia unaweza kusaidia kutibuvidonda vya tumbo??