Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 387
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nina kizunguzungu nini tatizo maana siumwi kitu
Yaan vyakula vya protin nikila vinanizulu nifanyejee Yaan mwili unakosa nguvu kabisa
Naweza kua na upunguf wa nguv za kiume na nikshilik naenda muda mlef mpak mwenzangu anasema anechok wakat mm sijajua haj yang?
Mapele yamekuw yakinitokea san na kuwashwa cjaelew hii kitu inakuwaje..naomba unipe jibu🙏🙏🙏
Habari ya asubuhi? Nimesoma dondoo yako. Swali langu.. Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?
Ningependa kuuliza nimekutana namwanamke kimapenzi bilakutumia kinga baada yasiku 2nikaanza kupata maumivu ya kicwa na sasa wiki inaelekea kuisha nikiwa bado Nina hayomaumivu je inawezakuwa ishala ya maambukizi ya ukimwi?