Pata jibu kamili kuhusu swali lako
haloo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1297
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
kuna tofauti Kati ya website na blog 2.afu iyo app ya tabedit inatumika Ku edit code kweny Sim au hata Kama unatumia PC unaweza kutumia iyo app ???
Assallaam Alaykum he ? Ukitaka kifungua bolg yako kinatakiwa Nini na Nini ili nikamilishe kufungua blog yangu mwenyewe
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
hellow najaribu kuinstall trebedit kwa simu inakataa sijajua shida nini,, inaonesha tu pending mda wote haioneshi kuanza installing
Mtaalam ninashukuru sana Kwa mafunzo yenu naendelea vizur na html lakin Kun kit kimenitatiza namn ya kuweka mfano mtihani ni code gani inatumika kuweka mtihan
Discor ni nini na inafanyaje kazi