Pata jibu kamili kuhusu swali lako
haloo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1297
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Code za android studio nilikuwa nazihitaji za app (mobile web/blog app)
Nina swali je naweza ku edit picture kwa kutumia Html?
Kaka naomba nisaidie Nilibadilisha email kwenye php admin nikaja kuirudisha inagoma inasema email tayari ipo na pale haipo hili tatizo nalitoaje
Samahani mkuu naomba msaada wa kufahamu jinsi gani ya kutengeneza direct link ya apk ambayo unaweza kuweka kwenye website pia mtu akibonyeza ianze kudownload moja kwa moja mfano mzuri kama app ya sports pesa
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
Nin swali naomba msaada nafnya app ya spring boot hapa as backend ila nikipelek data zangu ktk database zinaingia ni null shida ni k2 gn