Pata jibu kamili kuhusu swali lako
haloo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1297
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nitapataje backlink ylkwenye website yangu?
Hello naitaj search engine post ziwe znaonekana haraka
kuna tofauti Kati ya website na blog 2.afu iyo app ya tabedit inatumika Ku edit code kweny Sim au hata Kama unatumia PC unaweza kutumia iyo app ???
Nimepata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa tendo na baada ya tendo la ndoa nikapata nafasi ya kupitia makala kadhaa katika blog yako ... Naomba unisaidie ni namna gani ntaepukana na maumiv haya?
Je plugin ni nini
Jamani nisaadieni hv vitu nataka nijue kuweka sehemu ya kuweza kupost file kwa ajili ya web user na iwe na sehemu ya comment na share
MSAADA JAMAN?