Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nijins gani yakuandk talaka
Mfano: Mimi Rashid Hamadi Issa leo tarehr 17/2/2023 nimemuacha mke wangu Zawadi Hosseni talaka moja.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je damu ya vidudu vidogo vidogo ina toa udhu mfano kama damu ya mbu nk
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
Je mtu aliezidiwa akjitoa manii usiku wa Ramadhan je inakuaje?
Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?