Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nijins gani yakuandk talaka
Mfano: Mimi Rashid Hamadi Issa leo tarehr 17/2/2023 nimemuacha mke wangu Zawadi Hosseni talaka moja.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nataka kufahamu katika Sala ya Eid imamu anapo soma takbira Allah Akbar!! Maamuma baada ya kuuitikia kuna mapumziko fulani baina ya Takbira, pale una faaa usome DUA gani?
Ass alaykum?naomba kuuliza?jee ibada ya hijjah ilikuwepo kabla ya mtume Muhammad (s,a,w)?
Naomba kufaham historia ya imamu shafii na kitabu chake cha usul al-figh
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq
Shaikh samahan nauliza nini hukumu ya mwanamke asiyemtii mumewe katika mambo ya kheri?
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao