Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nijins gani yakuandk talaka
Mfano: Mimi Rashid Hamadi Issa leo tarehr 17/2/2023 nimemuacha mke wangu Zawadi Hosseni talaka moja.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Mm naomba kuuliza,. Ni kijana gani alieaminiwa na bwana Abu Talib ambae aliemkabidhi mtume s.w.a amrudishe Makka?
Nauliza kama aujui kusoma Quruani na unaswali kila kipidi cha swala je kunapungufu apo
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine