Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida ya kutumia matunda kiafya ni zipi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 900
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hllo hamjambo mmi natumia dawa za prep na nimeanza kuzitumia jana 00:00 lkn leo sku ya pili nimelala baada ya kuamka nimepitisha dakika nikanywa 00:58 kesho nafaa ninywe muda gani tafadhali maana nimechelewa kwa dakika tafadhali nishauri
Mimi nilibeba mimbA mwez wa tisa ila mda huu naona majimaji na mtoto kachuka je nidariri za kujifungua au lha
Nina umri wa miaka 19 ni jinsia ya kike swali langu ni kwamba sikupata hedhi ya miezi mitatu na nikakutana kimwili sasa je? Naweza kuw na ujauzt
Ikiwa vipimo vya magonjwa ya zinaa vitafanyika kwa mwanamke hata kabla ya dalili kuonekana nje, majibu huonyesha maambukizi?
Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan
Mm tumbo linaniuma alafu hedhi inatoka lakini so nyingi lakini pia nkiponyeza matti yangu yanatoa maziwa je itakuwa ni nn?