Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida ya kutumia matunda kiafya ni zipi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 900
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito
Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza
Sjawahi kuumwa fangasi but ndo Mara yangu yakwanza naona Hali hii yakutokwa uchafu ukeni na nia yangu nitiba Mana nimetumia dawa za farmasi lakini wapi uchafu unatoka
Habari naomba ushauri nasumbuliwa Sana mwili unaniuma kweli napata joto mwilini kari sana na Koo lote linauna nitumie dawa gani
Habari Mimi nasumbuliwa na ganzi kwenye kiganja Cha mkono wa kulia muda mwingine mkono unachoka kabisa sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini
Hey!! Swali lang ni je mtu akiw na damu nyingi mwilin mwakee akitakaa kupunguz bila kutumia vidongee anashauriwa kufanya nn?