Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Eleza jinsi dini ya uislam unavyoweza kumkomboa mwanaadam na sio venginevyo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 104
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalsm
Alayku.nilikuwa nauliza yafaa kumpa mamamdogo zakatil fitri
Je mtu akitokwa na upepo yaani kujamba je lazima kutawadha kwanza ndo ashike udhu??
Asalam alykum nikuwa nauliza ety vifungu vya faradhi ni vingapi?
Naomba nielekezwe ikhfau Shafawiya katka hukumu za kusoma Quran
Nauliza kama aujui kusoma Quruani na unaswali kila kipidi cha swala je kunapungufu apo
Asalam alykum nataka kujua inakuwaje hukumu ya mwanamke alotoka nje ya ndoa.na mumewe kamwambia ikitoka nje ya ndoa ndo talaka yako.na akatoka nje ya ndoa.je VP hapo ndoa Bado ipo au ndo talaka tayari ishatoka km mume alivyosema?na je baada ya mwanamke huyo kule