Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Eleza jinsi dini ya uislam unavyoweza kumkomboa mwanaadam na sio venginevyo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 104
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
Nko na swali wakat unaanza kula unatamka vip. Bismillah Rahman Rahim ama watamka Bismillah pekeake.
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Je kuswali Hali ya kuwa nguo imevuka ugoko ni saw