Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamualaikum naomba kujua maan ya bidaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 867
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
A'alaykum, Nilioa mke wa pili baadae nikija kumjurisha mke wangu wa kwanza, yeye ajafanya maamuzi ya kuondoka huu mwaka wa 6 sasa na sijampa talaka, hapo kuna ndoa tena?
Nahitaji kujua UDUGU ni nini? Faida za udugu na hasara za kuvunja udugu katika uislam
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH Mama mdogo katangulia mbele ya haki. Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama. Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi. Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4 Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi
ikiwa marehemu kaacha mke mmoja na watoto watano wakiume na wakike wawili hawa mgawanyo wao upo vipi