Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamualaikum naomba kujua maan ya bidaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 867
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalamualeykum. Ukiswali rakaa ya 3+ 4 unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?
Assalamualaikum warahmat llah wabarakat... Samahan nlikuw naswali ni ipi hukmu ya mwanamke kupaka dawa Kam pambo Kwa mme wake
je ni dua ipi imependekezwa zaidi katika swala hii ya tahajjud
Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn
Asalam Alyqum Warhmatullah Wabarakat
Wakati wa swala ya jamaa kwa wanawake, wanasimama hali yakuwa vifundo vyao vya miguu vigusane, inamaan waswali huku wametanua miguu au wakiwa wamebana miguu na kunyoosha swafu kwa kugusana mabega tu...??