Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam aleykum,, samahan naomb kujua nini nifanye napokumbka marehemu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 144
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Asalam alykum nataka kujua inakuwaje hukumu ya mwanamke alotoka nje ya ndoa.na mumewe kamwambia ikitoka nje ya ndoa ndo talaka yako.na akatoka nje ya ndoa.je VP hapo ndoa Bado ipo au ndo talaka tayari ishatoka km mume alivyosema?na je baada ya mwanamke huyo kule
Kitugani kilicho pelekea wakati wa tabiin kuandikwa hadithi
Je wakati unatubia unaomba msamaha kwa mola wako wakati upo katikati ya swala ama baada ya kumaliza