21.
21.Mti mtu
Vijana wawili marafiki, mary na Huruma walikwenda kutembea. Kwa bahati mbaya mvua ikwanyeshea. Wakakimbia huku na kule. Wakiwa wametota vibaya, wakaona kibanda, wakaingia na kukausha nguo zao kwa moto. Baada ya duda mchache nguo zao zilikauka.
Wakiwa na njaa kali wakaamua wakatafute matunda. Kila mmoja akaenda upande wake. Kwa bahati mbaya mery alikanyaga mtego wa kichawi na kugeuka mti. Katika kuzunguka huruma akapita eneo lile ambalo mery amegeuzwa mti
Huruma akasikia sauti ikimwambia βRafiki yako amegeuzwa mti, tunakupa chaguo moja tafuta ni mti upi ni rafiki yako. Ukikosa na rafiki yako ataendelea kuwa mtiβ unadahi ni mti upi Huruma angeuchagua
Jibu
Kwakuwa mvua ilinyesha miti yote itakuwa ina maji, ila mary alikuwa amekausha nguo zake hivyo mti ambao ni mery utakuwa ni mkavu.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 853
Sponsored links
π1 Madrasa kiganjani
π2 Kitabu cha Afya
π3 Kitau cha Fiqh
π4 kitabu cha Simulizi
Chemsha bongo namba 20
17. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...
SIRI
Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...