Amani alipata maandiko ya mjomba wake Moses, yaliyofichua uhusiano wa familia yao na shirika la siri Macho ya Usiku. Mama Nyawira alikiri kuwa mwanachama wa zamani. Kabla hajafichua zaidi, watu wa ajabu waligonga mlango kwa nguvu.
Huu ni muendelezo wa hadithi ya Mauwaji ya Kale
Amani alipata maandiko ya mjomba wake Moses, yaliyofichua uhusiano wa familia yao na shirika la siri Macho ya Usiku. Mama Nyawira alikiri kuwa mwanachama wa zamani. Kabla hajafichua zaidi, watu wa ajabu waligonga mlango kwa nguvu.
Amani alirejea msituni kufuatilia maono ya kipande cha chuma. Alikutana tena na mzee wa ajabu aliyemweleza kuhusu shirika la siri
Amani anakuja tena msituni kwa mara nyingine wakati wa usiku. Nini kitatokea , na nini hasa kumemleta, je bibi anahusika vipi?
Baada ya muda mwingi, Amani anarudi tena kwenye mti wa ajabu. Na hapa safari mpya inaanzia
Hii ni hadithi ya simulizi ya siri ya mauwaji, huu n muendelezo wa simulizi ya Mauwaji ya kale