image

michezo

michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose.

michezo

michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose. Na michezo ni muhimu si kimwili tu bali pia kiakili. Pia itambulike kuwa kwa mujibu wa Umoja wa mataifa michezo ni haki ya mtoto. Yaani ni kosa kumzuilia mtoto kucheza. Michezo inapewa kipaumbele sana kwa watu wa rika zote na jinsia zote.

michezo inatakiwa pia ifanywe kwa kulingana na mwili, afya, jinsia pamoja na umri. Kuna michezo ambayo watoto hawaruhusiwi kuicheza, pia ipo ambayo inazuia jinsia yaani jinsia fulani haichezi michezo fulani. Halikadhalika afya ya mtu itamzuilia asiweze kucheza baadhi ya michezo.

hakikisha unacheza kiasi cha kukutoa jasho. Na pia ni vyema ukakaa track suti, vazi hili linapendekezwa liwe na mikono mirefu pamoja na miguu mirefu. Jambo la kizingatia hapa uhakikishe jasho linamwagikia na kukaukia mwilini. Hii husaidia katika kuunguza mafuta mwilini.

Michezo ipo ya aina nyingi sana, unaweza ukawa unaruka kamba. Na hili ni katika mazoezi mazuri kwa anayetaka kutafuta pumzi na kuwa mwepesi kama kukimbia. Jogging, pushap mpira na baadhi ya mazoezi mengine mengi ya viungo. Pia kumbuka yapo mazoezi ya akili kama vitendawili, nahau na methali ama kucheza gemu za kompyuta ama simu.Kama nilivyotangulia kusema michezo ina faida za kimwili na kiakili. Ukuaji ulio bora wa akili kwa watoto unachangiwa zaidi na vyakula, kurithi na pamoja na michezo. Watu wa rika zote wanahitaji kucheza ili waweze kuchangamka kimwili na kiakili. Michezo huweza kumuepusha mchezaji na athari ya maradhi kama kisukari, saratani na baadhi ya maradhi mengine.


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 508


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa
Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936 Soma Zaidi...

SIRI
Soma Zaidi...

MASHAIRI
UWANJA WA MASHAIRI              UWANJA WA ELIMU YA MASHAIRI Bofya link hapo chini kuanza kusoma 1. Soma Zaidi...

michezo
michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose. Soma Zaidi...

simulizi za hadithi, burudani na riwaya za kusisimua zenye visa na mikasa mbalimbali
Hadithi za alif Lela U Lela kitabu cha kwanza Soma Zaidi...

Kitabu Cha Kiapo Cha Mfalme
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

VITABU VYA BURUDANI: CHEMSHABONGO, HADITHI, SIMULIZI, NA VICHEKESHO
Soma hadithi za burudani na mashairi, cheka na furahia zaidi katika hadithi zetu Soma Zaidi...

TAMBUA FAIDA NA ATHARI ZA MICHEZO
POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi. Soma Zaidi...