Huyu ni Sahaba ambaye Allah alituma jeshi la Nyuki kulinda Maiti yake, wakati makafiri walitaka kukata kichwa chake
Katika makala hii utakwend akujifunz anamna gani maswahaba walishiriki katika michezo mbali mbali na jinsi ilivyoweza kuwasaidia katika harakati za dini.
Katika somo hili utakwend akujifunz abaadhi ya wanawake ambao wameshiriki vita vya uhudi na kutoa mchango mkubwa. Wanawake hawa wapo wengi ila hapa nitakuletea wanne tu.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu mmwanamke shujaa anayejulikana kwa jina la Naseebah bint Ka'ab (Nusaybah bint Ka'ab) mwanamke aliyemlinda Mtume s.a.w wakati wanaume wanakimbia vitani
Katika somo hili utakwend akujifunza ujasiri wa maswahaba mbalimbali katika kulinda jamii ya kiislamu katika vita vya Ahzab
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu historia ya swahaba anayeitwa Khabbab bin Al-Aratt (r.a.)
Katika somo hili utakwenda kujifunza namna ambavyo Mswahaba walikuwa wakimpenda Mtume s.a.w zaidi ya nafsi zao
Katika somo hili utajifunza sifa nyingine ya unyenyekevu ambayo walikuwa nayo Maswahaba wa Mtume (s.a.w)
Katika somo hili utakwend akujifunza namna illivyokuwa Imani Isiyoyumba ya Maswahaba
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo Maswahaa wa Mtume walivyokuwa na ushujaa katika kuipambania dini.
Karibu kwneye Katika historia ya Maswahaba wa Mtume Muhammad s.a.w. Katika mfululizo wa masomo haya tutakwend akunagalia mengi katika mambo yanayohusu uislamu kupitia maisha ya Maswahaba.