michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose.
michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose. Na michezo ni muhimu si kimwili tu bali pia kiakili.
Pia itambulike kuwa kwa mujibu wa Umoja wa mataifa michezo ni haki ya mtoto. Yaani ni kosa kumzuilia mtoto
kucheza. Michezo inapewa kipaumbele sana kwa watu wa rika zote na jinsia zote.
michezo inatakiwa pia ifanywe kwa kulingana na mwili, afya, jinsia pamoja na umri. Kuna michezo ambayo watoto
hawaruhusiwi kuicheza, pia ipo ambayo inazuia jinsia yaani jinsia fulani haichezi michezo fulani. Halikadhalika
afya ya mtu itamzuilia asiweze kucheza baadhi ya michezo.
hakikisha unacheza kiasi cha kukutoa jasho. Na pia ni vyema ukakaa track suti, vazi hili linapendekezwa liwe na mikono mirefu pamoja na
miguu mirefu. Jambo la kizingatia hapa uhakikishe jasho linamwagikia na kukaukia mwilini. Hii husaidia katika
kuunguza mafuta mwilini.
Michezo ipo ya aina nyingi sana, unaweza ukawa unaruka kamba. Na hili ni katika mazoezi mazuri kwa anayetaka kutafuta pumzi na
kuwa mwepesi kama kukimbia. Jogging, pushap mpira na baadhi ya mazoezi mengine mengi ya viungo. Pia kumbuka yapo mazoezi ya akili kama
vitendawili, nahau na methali ama kucheza gemu za kompyuta ama simu.Kama nilivyotangulia kusema michezo ina faida za kimwili na kiakili. Ukuaji ulio bora wa akili kwa watoto unachangiwa zaidi na
vyakula, kurithi na pamoja na michezo. Watu wa rika zote wanahitaji kucheza ili waweze kuchangamka kimwili na kiakili.
Michezo huweza kumuepusha mchezaji na athari ya maradhi kama kisukari, saratani na baadhi ya maradhi mengine.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Soma hadithi za burudani na mashairi, cheka na furahia zaidi katika hadithi zetu
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Hadithi za alif Lela U Lela kitabu cha kwanza
Soma Zaidi...UWANJA WA MASHAIRI Â Â Â Â Â Â Â UWANJA WA ELIMU YA MASHAIRI Bofya link hapo chini kuanza kusoma 1.
Soma Zaidi...Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936
Soma Zaidi...POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi.
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...