Pata jibu kamili kuhusu swali lako
UTI inaweza sababisha kuishiw nguvu na kichefuchefu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1108
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Aaww. SHUKRAN Kwa elimu juu ya sanda . Swali langu ni Hili: kamba ktk sanda ya like zinakatwa zote kutoka katika majamvi Yale mawili?
Habari naitwa daines nilikuwa natumia uzazi wa mpango nimekitoa mwezi wa 12 mwaka Jana nasiku zangu sizioni Toka mwezi wa kumi mwaka Jana mpaka leo sioni siku zangu Leo nimepima kipimo kinaonesha ninamimba je inawezekana?
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?
Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure
maana kuna ugonjwa unanisumbua katika uke wangu kutokwana uchafu jee akua niyeye kaniambukiza au ni nini?
Baada ya tendo nakuwa napata maumivu makali tumboni tumbo linakua kama limejaa gesi na gesi hiyo inanisumbua Sana Kwa MDA mrefu hata week na maweek na pia maumivu kiunoni