Pata jibu kamili kuhusu swali lako
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 130
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
A,aleikum
Mwanamke akiwa kwa eda ndo kwanza anaanza kuuachwa je inarusikika mke uyo kwenda kwa kadhi na kudai talaka ?
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
Me naumwa skio nimeweka dawa skion je nimefungulia
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa