Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua kuhusu fangasi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 219
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako
Mama mjamzito anatakiwa kufanya mapenzi mpaka miezi mingapi
Vidonda vyatumbo hasa uhuma maeneogani, pemben mwatumbo, maeneo yakat kat yatumbo
Samahani kwausumbufu mim sijaziona siku zangu ila kama nikipata sehemzangu naona kama kuna kivimbe kwandani upande wa kulia siku za nyuma hakukuwepo sasa sijajua ninini
Lkn me najiulizaga swali korona virus na hiv ni virus kuna maemo wanasemaga virus hatibiki Sasa kama hatibiki why wanaweza kutibu korona afu ukimwi hawawez kutibu ? Embu nisaidie dr kama unauwelewa ju ya hilo jambo nalojiuliza
Habari ya kazi! Samahani nauliza, hivi dalili za Kwanza za maambukizi ya virusi vya ukimwi zinakuwepo kipindi chote Cha mwezi mzima yaani hizo wiki nne, au inakuwaje!?