Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua kuhusu fangasi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 219
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
Leo Ni siku ya pili nimeamka kiuno kinauma he Ni kawaida kwa mjamzito kiuno kuuma au na lenyewe Ni tatizo
Ok mm shida yangu sehem ya uume Kama nikibinya yanatoka maji ambayo Kama usaaa lakin hayajafikia kwenye usaa
Swali langu ni nimepata changamoto ya jicho. Nilijipiga na mnati kwenye jicho na jicho limekuwa jekundu
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara
Samahan jaman ninaomba ushaur ukimw uonekana kwamacho