Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua kuhusu fangasi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 219
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwanini mjam mzito wamwezi mmoja mbavu zina mbana namaziwa yamejaha yote n a chuchu zina Uma naku washa
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
habari samahani mimi nililala na mtu wangu siku za hatari and nikanywa p2 je naweza kupata mimba coz tumbo linauma na naona kama damu nyepesi
Kuruka kwa tarehe ya hethi inaweza sababisha kuto kushika mimba
Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula
Shida yang kweny uume wangu sometime uwa unawasha kwa ndani naombaa nisaidie kujua ogonjwa gan