Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1055
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.
Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Habariii ninamchumba wangu tatizo lake mbegu zake huwa ni nyepesii sana kama maji shida huwa nin ety
Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan
Ety mwanmke akishapita siku zake za hatari je zinaweza kurudi tena kabla hajapata hedhi nyingine ata kama akikaa miezi miwili
Minmi nikila tu kitu kidogo tumbo linajaa Kama he's yaan inanichukua muda kweli tumbo limevimbiana na Hilo Ni tatizo gani