Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1055
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mim naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
Ivi kweli majivu hutoa mimba baada ya wiki moja
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Mafua yanayoashilia mtu kuwa ana vvu uchukua muda gn kupona?
kwenye kibofu changu Cha mkojo Kuna maji maji ambayo hayakauki na nahisi maumivu makali yasiyoisha sijajuaa shidaa ni nini
Nina umri wa miaka 19 ni jinsia ya kike swali langu ni kwamba sikupata hedhi ya miezi mitatu na nikakutana kimwili sasa je? Naweza kuw na ujauzt