Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je, dawa ya kuongeza damu kwa wajawazito Raferon iko na side effects?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 493
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza
Jamn samahan......nataka kujuaa kuwaa kutoa mimbaa na majani ya chai n kwel ???
Sawa ila mi natakakujua je hivi vipimo vya hospitali za selikali uwonesha majibu mudagani baada ya mutu kuasilika?
Samahan naomba kuuliza mimi huwa kabla ya hedhi napata maumivu ya tumbo maumivu hayo yanaweza kuwa ya siku moja Ila siku ambayo hedhi itatoka napata maumivu makali mno na maumivu hayo yatadumu Hadi hedhi ikate na inapelekea mguu wa kushoto kuwa kama unakufa gannzi.naomba nisaidie ni nini hiki?
MWANAMKE ANARUHUSIWA KUFANYA MAPENZI MWISHO MIEZ MINGAPI COZ BAADHI YA WATU HUSEMA UKIFANYA MPAKA MWISHO MTOTO HUZALIWA MCHAFU KICHWANI
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin