Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za ugonjwa wa kisukari ni zipi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 520
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kama tumbo linapata joto ila hakuna kuharisha, kichwa kinauma na sehemu ya mbele ya siri inawasha hii ni dalili za ugonjwa ganj
Kupata vichomi nazo ni dalili za ujauzito na hizo homon zasababishwa na nin kubadilika
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
Habar ya ww mtaalamu ,sasa nilitaka kufahamu kama shilingi inaweza sababishwa na minyoo maana hapa nilipo ninashilingi kifuani nimetumia dawa za kupaka inasaidia ninapoendelea kutumia dawa ,dawa inapokuwa imeisha yenyew inaanza upya na shilingi hii inawasha na ina uweupe Fulani ina mda kama miaka 6 saiv haitaki kuisha,vilevile saivi imeongezeka kichwani na hata usoni ,nilishauriwa pharmacy kwa nitumie dawaa ya minyoo itasaidia
nasumburuwa na misuri kila siku yaani naitaji ushauri wakoo
Nina mkewangu hapa anasumbuliwa na mapigo ya moyo kwenda mbio pia mwili kuishiwa nguvu