Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za ugonjwa wa kisukari ni zipi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 520
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu, ipi Sababu ya mwanamke kuchanganywa na siku yake ya period eg, maalum Ni tareh 23 Kila mwezi ,utaona inamshusha 18, Mara 22 kupanda Tena 26 , naomba kujua doctor
Je kutoka uchafu meupe ukiwa una fanya mapenzi nini
Dokta tatizo la kuwa na maumavu juu ya kitovu baadae ya kumaliza mwezi amejifungua Nini chanzo?
Je mwanamke anaweza pitiliza sku zake za makadilio kwa kawaida ngapi?
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Niko na shida nikimaliza sector ya mapenzi na mkee wangu kuna unyevunyevu kwa sehemu yangu ya Siri na mwashowasho kiasi ndani ndani inaweza kua ni shida gani