Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante kwa elimu je maandazi ni chanzo cha maji
Hapana maandazi sio chanzo cha maji. Maandazi na vyakula vingine mfano wake sio chanzo cha maji.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mimi nikiwa nimelala usiku napata ganzi ya mkono wangu wa kushoto kuja kifuani yani had inanikera jee shida ni nini?
Mm nmgonjwa wa fangasii za mdomoo na hii naamini kua nmepata kutokana na kutumia anti biotic kwa mda wa miezii miwilii ivo naisii kabsaa njia moja wapo ivo basii nmejalbuu kutumia dawa naona aviponii hii ya kupaka micor oral gel so nfanyajee
Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu
Naomba kuuliza je watu waliasilika wajaanza dawa kwana mke na mume wanaendelea kushiliki tendo LA ndoa madharayake nini?
Ni nini kinachosababisha upungufu wa damu?
Shinikizo la damu ni nini?