Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante kwa elimu je maandazi ni chanzo cha maji
Hapana maandazi sio chanzo cha maji. Maandazi na vyakula vingine mfano wake sio chanzo cha maji.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Side effects za kula ukwaju ni zipi..?
nina tatizo la kuchubuka uume wakati wa ku sex
Na je hiv vipimo vya kujipima mwenyewe vya mate ni vya kwel au some time huwa vinakosea
Nmepitia kurasa yenu nikaona juice ya kabechi inasaidia ss nilipenda kujua jinsi ya kuiandaa
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Niko na ujauzito miez 3 ,nasumbuliwa na fungus sijui italeta madhara Kwa mtoto ,pia nimetumia dawa Sion mabadiliko