Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante kwa elimu je maandazi ni chanzo cha maji
Hapana maandazi sio chanzo cha maji. Maandazi na vyakula vingine mfano wake sio chanzo cha maji.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dokta tatizo la kuwa na maumavu juu ya kitovu baadae ya kumaliza mwezi amejifungua Nini chanzo?
Samahan, je mwanamke anaweza kuwa na dalili za mimba za awali kwa maumivu ya kiuno?
Mm sijapata period ni miezi miwili sasa ila ninepima ujauzito kwa UPT negative pia tumbo linauma nikilipobonyeza naomba unisaidie tatiz nini
Mm naisi kizunguzungu nasaidiwaje japo nimefanya udma ya kwanza na aijanisaidia
Miyezii tisaaa kamili tenaa tarehe niloandikiwa sptl kujifunguaa sija jifungua mpkaaa asaiv imeniandikiaa tarehe 25 lkn naona bd maumivu makalii tu yakiuno kumaa na kuachiaaa na mguu kumaa tumbo haliniumi lkn kiuona tu na kutokaa maji maji meupee mazito sijajua tatizo nn
Hv ukishiriki na mtu mwenye ukimwi waweza pata papo kwa papo