Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante kwa elimu je maandazi ni chanzo cha maji
Hapana maandazi sio chanzo cha maji. Maandazi na vyakula vingine mfano wake sio chanzo cha maji.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani ninatatizo la moyo kwenda mbio hasa nyakati za asubuhi nikiwa naamka alafu nikitembea kidogo tu nachoka,je tatizo Hili husababishwa na nini?
Je nini tatizo ikiwa tumbo linakuwa kama limejaa gezi halafu nikiwa nalibinya kwa ndani nakuwa napata maumivu flan chini ya kitovu japo sio makali
Jamn samahan......nataka kujuaa kuwaa kutoa mimbaa na majani ya chai n kwel ???
Leo Ni siku ya pili nimeamka kiuno kinauma he Ni kawaida kwa mjamzito kiuno kuuma au na lenyewe Ni tatizo
Shekh mm nilikua nomb tahiat kubw na ndg huag zanisumbua kam kunauwezekan unitumie
Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa