Katika post hii utakwend akujifunza jinsi ya kuandika post, kuisimamia na kuoboresha.
Kama unatumia simu upande wa kushoto kuna menu hapo bofya utaletewa list ya menu. Bofya palipoandikwa NEW POST. na kama unatumia kompyuta bofya palipoandikwa NEW POST upande wa kushoto kwa juu.
Kama unatumia simu ukurasa utakaofunguka utakuwa tofauti na wanaotumia kompyuta. Hata hivyo nitafafanua kwa manufaa ya wote wanaotumia simu na kompyuta. Hapo chini naleta picha mbili moja kwa wanotumia simu na ingine ni kwa wanaotumia kompyuta.
Kwa watumiaji simu
Kwa watumiaji kompyuta
Menu ya vifaa vya uandishi
Sasa ngoja tuone baadhi ya sehemu muhimu katika uandishi wa post yako kwenye blog.
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: blogger Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1315
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Madrasa kiganjani
Blogger somo la 1: Jinsi ya kutengeneza Blog
Somo hili litakwenda kukufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kufunguwa blog kwenye mtandao wa blogger. Soma Zaidi...
BLOGGER somo la 3: Jinsi ya kuifanya Blog yako iweze kuonekana Google kwa urahisi
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuifanya blog yako iweze kuoneka Google kwa urahisi Soma Zaidi...