Katika post hii utakwend akujifunza jinsi ya kuandika post, kuisimamia na kuoboresha.
Kama unatumia simu upande wa kushoto kuna menu hapo bofya utaletewa list ya menu. Bofya palipoandikwa NEW POST. na kama unatumia kompyuta bofya palipoandikwa NEW POST upande wa kushoto kwa juu.
Kama unatumia simu ukurasa utakaofunguka utakuwa tofauti na wanaotumia kompyuta. Hata hivyo nitafafanua kwa manufaa ya wote wanaotumia simu na kompyuta. Hapo chini naleta picha mbili moja kwa wanotumia simu na ingine ni kwa wanaotumia kompyuta.
Kwa watumiaji simu
Kwa watumiaji kompyuta
Menu ya vifaa vya uandishi
Sasa ngoja tuone baadhi ya sehemu muhimu katika uandishi wa post yako kwenye blog.
Mfano wa post
Ni nini maana ya blog
Neno "blog" linatokana na neno la Kiingereza "weblog," ambalo ni kifupi cha maneno "web" na "log." Katika Kiswahili, "b...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuifanya blog yako iweze kuoneka Google kwa urahisi
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kufunguwa blog kwenye mtandao wa blogger.
Soma Zaidi...