image

BLOGGER somo la 2: Jinsi ya kuandika post na kuiboresha pamoja na kuidhibiti

Katika post hii utakwend akujifunza jinsi ya kuandika post, kuisimamia na kuoboresha.

Kama unatumia simu upande wa kushoto kuna menu hapo bofya utaletewa list ya menu. Bofya palipoandikwa NEW POST. na kama unatumia kompyuta bofya palipoandikwa NEW POST upande wa kushoto kwa juu.

 

Kama unatumia simu ukurasa utakaofunguka utakuwa tofauti na wanaotumia kompyuta. Hata hivyo nitafafanua kwa manufaa ya wote wanaotumia simu na kompyuta. Hapo chini naleta picha mbili moja kwa wanotumia simu na ingine ni kwa wanaotumia kompyuta.

 

Kwa watumiaji simu

 

Kwa watumiaji kompyuta

 

  1. Hapo kwenye namba 1 ndipo utakwenda kuandika kichwa cha habari cha hiyo post yako.
  2. Kwenye namba 2 ni kwa ajili ya ku preview yaa ni kuangalia jinsi ambavyo post yako itaonekana na wasomaji wako kabla hujaipost
  3. Kwenye namba 3 hapo ndipo utakapobofya pindi unapomaliza. Ukibofya hapo post yako inakuwa live. Hivyo watu wote wataweza kuiona.
  4. Hiyo ni menu ambapo kila unachokiona hapo kitakusaidia katika kuboresha muonekano wa post. Kwa wanaotumia siku buruza huo mstari utakuonyesha menu zaidi.
  5. Kwenye nmaba 4 hapo hutumika ku edit html code za hiyo post yako. Kama unataka kuongeza maboresho kwa kuweka code za html, css na javascript kwenye post yako, basi hapo ndio sehemu inayotumika.

 

Menu ya vifaa vya uandishi

Sasa ngoja tuone baadhi ya sehemu muhimu katika uandishi wa post yako kwenye blog.

  1. Ni kwa ajii ya kufanya herufi kuwa bold
  2. Ni kwa ajili ya kufanya maandishi kuwa italics
  3. Ni kwa ajili ya kupigia mstari maandishi
  4. Kwa ajili ya kukata maadhishi
  5. Kwa ajili ya kuweka rangi kwenye maandishi
  6. Kwa ajili ya kuweka rangi ya background
  7. Kwa ajili ya kuweka link
  8. Kwa jili ya kuweka picha
  9. Kwa ajili ya kuweka video na audio
  10. Kwa ajili ya kuweka emoj
  11. Kwa ajili ya kupangilia muonekano wa paragraph
  12. Kwa ajili ya kupangilia mtiririko wa namba
  13. Kwa ajili ya kunukuu

 

...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 365


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

BLOGGER somo la 3: Jinsi ya kuifanya Blog yako iweze kuonekana Google kwa urahisi
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuifanya blog yako iweze kuoneka Google kwa urahisi Soma Zaidi...

BLOGGER somo la 2: Jinsi ya kuandika post na kuiboresha pamoja na kuidhibiti
Katika post hii utakwend akujifunza jinsi ya kuandika post, kuisimamia na kuoboresha. Soma Zaidi...

Blogger somo la 1: Jinsi ya kutengeneza Blog
Somo hili litakwenda kukufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kufunguwa blog kwenye mtandao wa blogger. Soma Zaidi...