Aina za vyakula somo la 7: Vyakula vya vitamini B

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vyakula vya vitamini B, kazi za vitamini B na chanzo cha vitaini B. Pia utajifunza makundi ya vitamini B

Fahamu Vitamini B: Kazi Zake, Vyakula, na Athari za Upungufu

Vitamini B ni kundi la vitamini muhimu ambazo ni mumunyifu kwenye maji (water-soluble vitamins). Zinahusika katika kuhakikisha michakato yote ya kikemikali mwilini inakwenda vizuri, hasa katika mchakato wa kimetaboliki (metabolism). Vitamini B vipo katika makundi mengi kama B1, B2, B3, B5, B6, B7, B9, na B12. Katika makala hii, tutachambua maana ya vitamini B, kazi zake mwilini, vyanzo vya vitamini B, na athari za upungufu wake.

Yaliyomo:

  1. Maana ya Vitamini B
  2. Makundi na Kazi za Vitamini B
  3. Vyakula vya Vitamini B
  4. Upungufu wa Vitamini B
  5. Athari za Kuzidisha Vitamini B

 

Maana ya Vitamini B

Vitamini B ni kundi la vitamini ambazo ni mumunyifu kwenye maji na zinafanana kwa sifa lakini zinatofautiana kwa kiasi kidogo. Vitamini B husaidia kuhakikisha kuwa michakato ya kikemikali inafanyika vizuri ndani ya seli. Michakato hii inajulikana kitaalamu kama kimetaboliki (metabolism).

 

Michakato ya Metabolism

Metabolism ni michakato ya kikemikali inayofanyika ndani ya seli kwa ajili ya mambo makuu matatu:

  1. Kubadili chakula kuwa nishati (nguvu).
  2. Kubadili chakula au nishati kuwa protini, wanga, mafuta, na asidi za nuklei (nucleic acid).
  3. Kuondoa uchafu na sumu mwilini (nitrogen waste).

Vitamini B vinahitajika ili michakato hii ifanyike kwa ufasaha na ufanisi.

 

Makundi na Kazi za Vitamini B

B1 (Thiamine)

 

B2 (Riboflavin)

 

B3 (Niacin)

 

B5 (Pantothenic Acid)

 

B6 (Pyridoxine)

 

B7 (Biotin)

 

B9 (Folic Acid)

 

B12 (Cobalamin)

 

Vyakula vya Vitamini B

Unaweza kupata vitamini B kwenye vyakula vifuatavyo:

 

Dalili za Upungufu wa Vitamini B

 

Athari za Kuzidisha Vitamini B

 

Hitimisho

Vitamini B ni muhimu kwa afya njema na mchakato mzuri wa kimetaboliki mwilini. Ni muhimu kula vyakula vyenye vitamini B ili kuhakikisha mwili unapata virutubisho muhimu vinavyohitajika kwa afya bora. Hata hivyo, ni muhimu kuepuka kuzidisha kiwango cha vitamini B ili kuepuka madhara yake.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Aina za vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1309

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Aina za vyakula somo la 49: Faida za kula nyanaya

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 40: Faida za kula mayai

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mayai

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 36: Faida za kula njugumawe

Katika somo hili utakwenda kjifunza faida za kiafya za kula njugumawe

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 72: Faida za kiafya za kula matembele

Katika somo hili utakwenda kujifunza namna ambavyo matembele yanaweza kuboresha afya ya mwili wako.

Soma Zaidi...
Vyakula somo la 71: Faida za kiafya za kula Mchicha

Katika somo hili utajifunza Faida za kiafya za kula Mchicha

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 20: Faida za kula fyulis

Katika somo hili uakwenda kujifunza faida za kiafya za kula fyulis

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo 21: Faida za kula kabichi

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi

Soma Zaidi...
Faida za kula mbegu za ukwaju

Katika makala hii utakwend akujifunza kuhusu faida za kiafya za kla mbegu za ukwaju.

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 65: Faida za kula uyoga

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 73: Faida za kiafya za kula majani ya mkunde

Katika somo hili uatkwenda kujifunza faida z akiafya za kula mboga ya majani ya kunde.

Soma Zaidi...