michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose.
michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose. Na michezo ni muhimu si kimwili tu bali pia kiakili.
Pia itambulike kuwa kwa mujibu wa Umoja wa mataifa michezo ni haki ya mtoto. Yaani ni kosa kumzuilia mtoto
kucheza. Michezo inapewa kipaumbele sana kwa watu wa rika zote na jinsia zote.
michezo inatakiwa pia ifanywe kwa kulingana na mwili, afya, jinsia pamoja na umri. Kuna michezo ambayo watoto
hawaruhusiwi kuicheza, pia ipo ambayo inazuia jinsia yaani jinsia fulani haichezi michezo fulani. Halikadhalika
afya ya mtu itamzuilia asiweze kucheza baadhi ya michezo.
hakikisha unacheza kiasi cha kukutoa jasho. Na pia ni vyema ukakaa track suti, vazi hili linapendekezwa liwe na mikono mirefu pamoja na
miguu mirefu. Jambo la kizingatia hapa uhakikishe jasho linamwagikia na kukaukia mwilini. Hii husaidia katika
kuunguza mafuta mwilini.
Michezo ipo ya aina nyingi sana, unaweza ukawa unaruka kamba. Na hili ni katika mazoezi mazuri kwa anayetaka kutafuta pumzi na
kuwa mwepesi kama kukimbia. Jogging, pushap mpira na baadhi ya mazoezi mengine mengi ya viungo. Pia kumbuka yapo mazoezi ya akili kama
vitendawili, nahau na methali ama kucheza gemu za kompyuta ama simu.Kama nilivyotangulia kusema michezo ina faida za kimwili na kiakili. Ukuaji ulio bora wa akili kwa watoto unachangiwa zaidi na
vyakula, kurithi na pamoja na michezo. Watu wa rika zote wanahitaji kucheza ili waweze kuchangamka kimwili na kiakili.
Michezo huweza kumuepusha mchezaji na athari ya maradhi kama kisukari, saratani na baadhi ya maradhi mengine.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2018-08-01 Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 225
Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Madrasa kiganjani
YAJUWE MAAJABU YA MBUZI PORI
1. Soma Zaidi...
Neno la awali
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Soma Zaidi...
ZOEZI
Zoezi la'1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria. Soma Zaidi...
Rangi za matunda
Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo? Soma Zaidi...
More
Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini. Soma Zaidi...
TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO
Soma Zaidi...
CHEMISTRY FOR FORM ONE
Soma Zaidi...
RAJABU ATHUMAN MAHEDE,(MAARUFU KAMA MWALIMU RAJABU ATHUMANI MAHEDE, AU OSTADHI RAJABU ATHUMANI MAHEDE)
Soma Zaidi...
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa kati'." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine. Soma Zaidi...