NINI HUSABABISHA MDOMO KUWA MCHUNGU Mdomo kuwa mchungu ni hali inayowasumbua watu wengi, hasa wakati wa asubuhi wanapoamka. Tatizo hili linaweza kusababishwa na vyakula, maradhi mbalimbali, matumizi ya dawa fulani, au mtindo wa maisha. Somo hili linaeleza sababu zake, kwa nini hutokea sana asubuhi, uhusiano wake na malaria, pamoja na njia za kuzuia au kupunguza tatizo.