Amni anapata kujuwa ukweli wa mambo Yale, na Hali inatendeka.
Hii ni simulizi ya Hadithi ya Muwaji yaliyowahi kutokea zamani.
Amni anapata kujuwa ukweli wa mambo Yale, na Hali inatendeka.
Mwisho wa yote Amani anatumia kipande cha Chuma kujuwa Siri za mambo Yale.
Wakati siri zaidi za bibi zinaendelea kufichuka, hatimaye muuwaji wa ukweli anawatokea na kutaka kumalizia mauwaji yake.
Mama nyawira anajaribu kufichuwa siri ya mambo yaliyotokea siku zile.
Hakuna siri chini ya juwa, Amani anagunduwa siri nzito ya Bibi yake na mauwaji ya kale
Mchezo wa Hatari, Amani akiwa kwenye hatari sana, je ataweza kufikia malengo yake. Na sasa anaingia kwenye mchezo wa hatari
Amani anafanikiwa kuwakimbia watu waliotaka kumuuwa, ilaje ataweza kutoka salama msituni?
Hatuwa nyingine ngumunzaidi mbele ya Amani. Nini kitatokea kwenye Mshale wa giza?
Ukweli una gharama, je Amani yupo tayari kulipa arama hiyo, haya yalikuwa maswali ya mzee huyu wa ajabu kumuuliza amani
Amani akiwa anaendelea kufonyokoa siri za zamani, hatimaye anakwenda kukutana na siri nyinginezo
Katika kivuli cha Mnazi Amani anakwenda kugunduwa siri nyingine. Huu ni mwendelezo wa siri ya kale. Je ni nini kitatokea.
Amani sasa anaingia kwenye kazi rasmi ya kufichuwa habari ya kale kuhusu mauwaji ya kikatili, na sasa anaelekea hatuwa ya kwanza.
Alama zilizopo kwenye ramani, zimnatengeneza taswira ya nini kilitokea miaka za kale
Bibi mama Nyawira alikuwepo miaka hiyo, ni katika ambao walizika siri hii kwa miaka mingi. Sasa kwa mara ya kwanza anaanza kuisimulia
Upepo wa Ajabu wenye sauti za kushangaza, unampeleka Amani kwneye hifadhi ya siri ya Kale.