BONGOCLASS

Jifunze mambo mengi hapa

SHAIRI KUTOA NI USHUJAA
SHAIRI KUTOA NI USHUJAA

KUTOA NI USHUJAA KUTOA NI USHUJAASalamu kwanza awali, wasikizi tikieni, Mwambaje nazenu hali, kheri nawatakieni, Mungu awape sahali, muifuzu mitihani, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa,Kila alie akili, hutunza yake thamani, Hilo sote twakubali