Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam alykum nikuwa nauliza ety vifungu vya faradhi ni vingapi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 915
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomb kuuliza ukiswali witri katika baada ya ishaa vipi unaruhusiwa kuamka usik kwa ajili ya sunna nyingne
Asalaaam aleykum ndugu naweza kupata. Maana ya jina la Ulya ndani ya quran tukufu. Sura na ayat
Je wakati unatubia unaomba msamaha kwa mola wako wakati upo katikati ya swala ama baada ya kumaliza
Nimeona darsa kidogo juu ya suala la talaka.swali langu ni je??..kama umempa talaka moja mkeo bila ya mashahidi waadilifu.je kuna tatizo katika uhalali wake??
Kuna maeneo mengi sana ambayo yanadhihirisha kuwepo kwa mwenyezi mungu .Chambua kwa mifano maeneo matano 5(tu)
Mke wangu aliingia siku zake tar 13 mwezi huu,amemaliza tar 17 msaada ni ipi siku ya kushika ujauzito? Ahsante.