Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam alykum nikuwa nauliza ety vifungu vya faradhi ni vingapi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 915
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali
Mm naomba kuuliza,. Ni kijana gani alieaminiwa na bwana Abu Talib ambae aliemkabidhi mtume s.w.a amrudishe Makka?
Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine
je katika uislam maulid zinaruhisiwa?
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Assalaam alayka je' kwa yule ambaye anakipato cha chini anapaswa atoe zaka kiasi gani na kwa kipindi gan?