MARADHI YA BAKTERIA

picha
HOMA YA MATUMBO (TYPHOID)

Somo hili linazungumzia homa ya matumbo, ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria wa aina ya Salmonella typhi.
picha
UGONJWA WA KIPINDUPINDU (CHOLERA) DALILI, MATIBABU NA SABABU ZAKE.

Somo hili linahusu ugonjwa wa kipindupindu – ugonjwa wa kuambukiza unaoathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kusababisha kuharisha maji maji kwa kasi.
picha
UISLAMU NA ELIMU EP 6: MCHANGO WA WAISLAMU KATIKA TIBA KIPINDI CHA ENZI YA DHAHABU YA UISLAMU

Hapa tutaangalia mchango wa wanazuoni wa Waislamu enzi za Golden Ages yaani zama za dhahabu, huu ni wakati ambao watu wa Ulaya walikuwa Gizani
picha
MARADHI YA KIFUA KIKUU (TUBERCULOSIS)

Katika somo hili utakwenda kujifunza sababu za kifua kikuu, dalili zake, njia za kujiepusha, na matibabu ya kifua kikuu.
picha
MARADHI YANAYOSABABISHWA NA BAKTERIA

Huu ni mfululizo mpya wa masomo yanayohusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria