Jifunze uundaji wa programu kwa Kiswahili na kuwa mtaalamu wa kutengeneza programu za kisasa.
C# (C-Sharp) ni lugha ya programu iliyoundwa na Microsoft na inatumika kwenye mfumo wa .NET. Ni lugha ya object-oriented na inafanana na C++ na Java.
Wiki 2 (Masaa 40)
Kiswahili
Mtandaoni (Online)