image

Hadithi Ya 36: Atakayemuondoshea Shida Muislamu Mwenzake,Allah Atamuondoshea Shida Zake

Hadithi Ya 36: Atakayemuondoshea Shida Muislamu Mwenzake,Allah Atamuondoshea Shida Zake

Hadithi Ya 36: Atakayemuondoshea Shida Muislamu Mwenzake,Allah Atamuondoshea Shida Zake

الحديث السادس والثلاثون

"من نفس عن مسلم كربة"

عن أبي هُرَيْرَة رضي اللهُ عنه، عن النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قال: (( مَنْ نَفَّسَ عَنْ مُؤمِنٍ كُرْبَةً مِنْ كُرَبِ الدُّنْيا نَفَّسَ اللهُ عَنْهُ كُرْبَةً من كُرَبِ يوْمِ القيامَةِ، ومَنْ يَسَّرَ على مُعْسِرٍ يَسَّرَ اللهُ عليه في الدنْيا والآخِرَةِ، وَمَنْ سَتَرَ مُسْلِماً سَتَرَهُ الله في الدُّنْيا والآخِرَةِ  واللهُ في عَوْنِ الْعَبْدِ ما كانَ الْعَبْدُ في عَونِ أخيهِ. ومَنْ سلك طَريقاً يَلْتَمِسُ فِيهِ عِلْماً سَهَّلَ اللهُ له بِهِ طَرِيقاً إلى الجنَّةِ.

وَمَا اجتَمَعَ قَوْمٌ في بَيْتٍ مِنْ بُيُوتِ اللهِ يَتْلُونَ كِتَابَ اللهِ ويَتَدَارَسُونَهُ بَيْنَهُمْ، إلا نَزَلَتْ عليهمُ السَّكِينَةُ، وغَشِيَتْهُمُ الرَّحْمَةُ، وحَفَّتهُمُ المَلائِكَةُ، وذَكَرَهُمُ اللهُ فيمَنْ عِنْدَه . وَمَنْ بَطَّأ بِه عَمَلُهُ لمْ يُسْرِعْ به نَسَبُهُ))

 

 رَوَاهُ مُسْلِمٌ   بهذا اللفظ.


HADITHI YA 36 ATAKAYEMUONDOSHEA SHIDA MUISLAMU MWENZAKE, ALLAH  ATAMUONDOSHEA SHIDA ZAKE

Kutoka kwa Abu Hurayra رضي الله عنه  ambaye amesema kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم   kasema: 

Yeyote atakaemuondoshea shida ya kidunia Muislamu mwenzake, Allaah Atamuondoshea  moja katika shida za siku ya Kiyama.

 Yeyote yule anaemsaidia  muhitaji (maskini) Allaah Atamsaidia haja zake hapa duniani na akhera.   Yeyote yule anayemsitiri  Muislamu, Allaah Atamsitiri  hapa duniani na akhera. 

Mwenyeezi Mungu humsaidia mja wake wakati wote mja anapomsaidia  nduguye (Muislamu).  Yeyote yule anayekamata njia kutafuta elimu, Allaah Atamrahisishia  njia ya peponi.  Hawakutaniki watu katika nyumba ya Mwenyeezi Mungu wakisoma kitabu cha Mwenyeezi Mungu na wakasomeshana pamoja ila watashukiwa na utulivu (sakina) na kheri. Rehema (za Allah) huwafunika na Malaika huwazunguka na Allaah Huwakumbuka kwa wale walioko  pamoja Nae. Yeyote yule anayeakhirishwa (anayecheleweshwa) na vitendo vyake (kwenda peponi) hatoharakishwa na Nasab yake.  

Imesimuiwa na Muslim



                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 251


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Namna ya kutoa na kuhesabu zake, masharti ya zaka na nguzo zake, nani inampasa kutoa ama kupewa zaka na sadaka
4. Soma Zaidi...

Hadithi Ya 36: Atakayemuondoshea Shida Muislamu Mwenzake,Allah Atamuondoshea Shida Zake
Soma Zaidi...