Uislamu na Elimu

Tutajifunza historia ya Uislamu na Maendeeo ya Elimu mbalimbali

7 Lessons
0 Topics
Author: Rajabu
4.8 (120 Reviews)
Unlock Full Course Access

Please login or register to access all lessons, track your progress, and earn certificates.

Course Curriculum

1
Vipi uislamu ulisaidia kuhifadhi kazi za wanafalsafa wa kigiriki

Kabla ya falsafa za ukiriki kufika ulaya, Wislamu ndio waliozihifadhi, na baadaye kuja kutafsiriwa kilatini na kuwafikia watu wa Ulaya

15 min Video
2
Chuo kikuu cha kwanza dunani

Chuo kikuu cha wanza duniani cha Elimu kielimu hakukihusu tu waislamu bali hata ambao sio waislamu walipata fursa ya kujifunza.

15 min Video
3
Vipi uislamu ulimpa hai mwanamke

Uislamu ulikuja kumkomboa mwanamke kutokana na dhulma alizokuwa akifanyika katika jamii.

15 min Video
4
Mariam Al-Astrulabi: Mwanamke Mwislamu Aliyeleta Mapinduzi Katika Sayansi ya Astrolabe Katika Karne ya 10

Katika uislamu mwanamke alikuwa na haki sawa na wanaume katika swala la kusjoma na kutafuta elimu. Makala hii itamuangalia mwanamke aliyeleta mapinduzi karne ya 10

15 min Video
5
Sahaba wa kwanza kuwa nesi - ufaida Al-Aslamia

Wakati ambao watu wa Ulaya mwanamke hakuwa na nafasi yeyote kubwa ya kijamii, katika Uislamu miaka 1200 kabla tayari kulisha kuwa na nesi Mwanamke.

15 min Video
6
Sahaba wa kwanza kuwa nesi - ufaida Al-Aslamia

Wakati ambao watu wa Ulaya mwanamke hakuwa na nafasi yeyote kubwa ya kijamii, katika Uislamu miaka 1200 kabla tayari kulisha kuwa na nesi Mwanamke.

15 min Video
7
Mchango wa Waislamu Katika Tiba Kipindi cha Enzi ya Dhahabu ya Uislamu

Hapa tutaangalia mchango wa wanazuoni wa Waislamu enzi za Golden Ages yaani zama za dhahabu, huu ni wakati ambao watu wa Ulaya walikuwa Gizani

15 min Video

Ready to start learning?

Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass

Enroll Now