Jifunze kusoma Kiarabu

Katika course hii utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma Kiarabu.

4 Lessons
2 Topics
Certificate Included
R
Instructor Rajabu

Course Curriculum

4 total lessons
Nini utajifunza katika kozi hii?
Hapa utakweda kujifunza nini hasa utakwedna kukisoma kwenye kozi hii kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa kozi.
Locked
Lugha ya Kiarabu ni nini?
Katika somo hili tutajifunza maana ya lugha ya Kiarabu, historia yake kwa ufupi, umuhimu wake katika Uislamu, na sababu zinazotufanya tujifunze lugha hii kabla ya kuanza kusoma Qur'an. Hili ni somo la utangulizi ambalo litatuandaa kwa masomo yajayo ya alfabeti za Kiarabu.
Locked
Jifunze herufi za Kiarabu
Katika somo hili tutajifunza herufi za Kiarabu (Alifbai), majina yake, namna zinavyotamkwa, na jinsi zinavyoonekana. Hili ni somo muhimu sana kwa sababu herufi ndizo msingi wa kusoma maneno, sentensi na Qur'an yote.
Locked
Kulinganisha Herufi za Kiarabu na Herufi za Kiswahili
Katika somo hili tutajifunza jinsi baadhi ya herufi za Kiswahili zinavyowakilishwa katika maandishi ya Kiarabu. Tutalinganisha herufi ambazo zina matamshi yanayofanana katika lugha hizi mbili ili kurahisisha kujifunza kusoma Kiarabu.
Locked
Lifetime Access
Learn Anywhere
Verify Skills

Get Started

Unlock Full Access

Join this course to access all video lessons, source code, quizzes, and track your learning progress.

Status Enrollment Open
Total Students 1.2k+
Sign In to Start Learning