C# Programming Language

46 Lessons
8 Topics
Author: Bonggoclass
4.8 (120 Reviews)
Unlock Full Course Access

Please login or register to access all lessons, track your progress, and earn certificates.

Course Curriculum

1
Kuhusu C#, .NET, Rider IDE, Solution na Projects

Katika somo hili tutajifunza kuhusu: Historia ya C# na nafasi yake kwenye ulimwengu wa programu. Maana ya .NET, pamoja na dhana za solution, project na application. Rider IDE na hatua za kuanza kazi. File extensions zinazotumika kwenye C# na .NET. Namna ya kutamka jina la lugha ya C#.

15 min Video
2
Sheria za uandishi wa code (syntax) kwenye C#

Katika somo hili tutajifunza kuhusu syntax rules za C#, ambazo ndizo misingi ya kuandika code sahihi. Tutaona namna ya kutumia statements, semicolons, curly braces, indentation, na naming rules. Pia tutajifunza dhana ya case sensitivity na jinsi inavyoathiri uandishi wa code.

15 min Video
3
Data types na variables kwenye C#

Katika somo hili tutajifunza: Maana ya data types na kwa nini ni muhimu. Aina kuu za data kwenye C#. Namna ya kutangaza na kutumia variables. Uhusiano kati ya value types na reference types. Type conversion (casting) – implicit na explicit.

15 min Video
4
operators kwenye C#

Katika somo hili tutajifunza: Maana ya operator katika C#. Makundi ya operators na matumizi yake. Arithmetic operators, comparison operators, logical operators, na assignment operators. Special operators (null-coalescing, ternary, na new pattern matching operators). Mfano wa matumizi ya operators kwenye C# (toleo jipya).

15 min Video
5
control flow (if, else if, else na switch)

Katika somo hili tutajifunza: Maana ya control flow kwenye C#. Kutumia if, else if, na else kuunda maamuzi. Kutumia switch na switch expression (C# mpya). Mfano wa vitendo jinsi control flow inavyotumika.

15 min Video
6
loops kwenye C#

Katika somo hili tutajifunza: Maana ya loop kwenye C#. Aina za loops: for, while, do...while, na foreach. Jinsi ya kuvunja au kuruka loop kwa break na continue. Mifano ya vitendo kutumia loops.

15 min Video
7
Functions (methods) kwenye C#

Katika somo hili tutajifunza: Maana ya function (method) kwenye C#. Sababu za kutumia functions. Aina za functions (static, instance, void, zinazorejesha thamani, n.k.). Parameta na argument (tofauti na matumizi). Mfano wa kisasa wa functions kwenye C#.

15 min Video
8
Strings na method muhimu za ku-manipulate strings katika C#

Somo hili litafafanua maana ya string katika C#, jinsi zinavyohifadhiwa, na jinsi ya kufanya kazi nazo. Pia tutajifunza method 20+ muhimu zinazotumika sana ku-manipulate strings.

15 min Video
9
Arrays na method zake katika C#

Somo hili linazungumzia array katika C#, namna zinavyoundwa, jinsi ya kufikia data zilizomo ndani yake, na method muhimu zinazotumika ku-manipulate array.

15 min Video
10
Method muhimu za kwenye int na float katika C#

Katika C#, namba kama int (nambari nzima) na float/double/decimal (nambari zenye desimali) ni value types zinazotoka kwenye System.Int32, System.Single, System.Double, na System.Decimal. Somo hili litajadili method na properties muhimu zinazotumika na aina hizi za data ili kufanya mahesabu, ukaguzi, na mabadiliko ya thamani.

15 min Video
11
Kupata user input katika C#

Somo hili litaeleza jinsi ya kupokea data kutoka kwa mtumiaji (user input) kwenye programu za C#. Tutajifunza namna ya kutumia Console.ReadLine(), jinsi ya kugeuza (convert) input kuwa aina tofauti za data, na tahadhari zinazohitajika ili kuepuka makosa.

15 min Video
12
Error Handling katika C#

Somo hili litazungumzia jinsi ya kushughulika na makosa (errors) katika C#. Tutajifunza kuhusu: try, catch, finally Exception classes Custom exceptions Error handling ni muhimu sana kwa sababu hufanya programu kuwa imara na isiyovunjika kirahisi wakati wa makosa.

15 min Video
13
Utangulizi wa OOP (Object-Oriented Programming) katika C#

Somo hili linafundisha dhana ya msingi ya Object-Oriented Programming (OOP) katika C#. Tutajifunza: OOP ni nini na kwa nini inatumika. Vipengele vikuu vya OOP. Dhana ya Class na Object. Maelezo ya Properties na Methods. Kwa nini tunahitaji class kuu na entry point ya programu. Mfano wa kimsingi wa OOP kwa maelezo ya kina.

15 min Video
14
Encapsulation na Access Modifiers katika C#

Katika somo hili tutajifunza kuhusu Encapsulation, moja ya nguzo kuu za OOP. Tutaona: Encapsulation ni nini. Aina za access modifiers (public, private, protected, internal). Mifano midogo kwa kila modifier. Mfano mkubwa unaojumuisha yote.

15 min Video
15
Inheritance katika c#

Katika somo hili tutajifunza kuhusu Inheritance (urithishaji) kwenye OOP. Tutajua maana yake, kwa nini inahitajika, jinsi ya kutumia :, na tutatoa mifano midogo midogo kwa kila kipengele. Mwisho tutajumuisha mfano mmoja mkubwa unaokutanisha vyote.

15 min Video
16
Polymorphism katika c#

atika somo hili tutajifunza Polymorphism kwenye OOP. Tutaona maana yake, aina zake kuu (overloading na overriding), masharti yake, jinsi inavyofanya kazi, na tutapata mifano midogo midogo ya kila kipengele. Mwishoni tutaandika mfano mmoja mkubwa unaokutanisha vyote.

15 min Video
17
abstraction katika c#

Katika somo hili tutajifunza maana ya abstraction, kwa nini tunaitumia, jinsi ya kutekeleza kwa kutumia abstract classes na interfaces, na tofauti kati ya hivi viwili. Tutatoa mifano midogo midogo kwa kila kipengele, kisha mfano mkubwa unaokutanisha vyote.

15 min Video
18
Data classes na records

Somo hili litafundisha kuhusu data classes na records katika C#. Tutaelewa tofauti ya value types na reference types, jinsi records zilivyoongezwa kuanzia C# 9+, na kwa nini ni muhimu unapofanya kazi na data zinazohitaji usalama na urahisi wa kusimamia.

15 min Video
19
Objects na companion concepts

Somo hili linazungumzia kwa undani kuhusu objects na dhana zinazohusiana nazo kwenye C#. Tutaona tofauti kati ya instance members na static members, tutajifunza kuhusu static classes & methods, na pia tutaelewa singleton pattern, mojawapo ya design patterns maarufu sana kwenye OOP.

15 min Video
20
Collections na generics

Somo hili litazungumzia collections na generics katika C#. Tutaelewa matumizi ya arrays, lists, na dictionaries, kisha tutaona dhana ya generics na kwa nini ni muhimu. Mwisho, tutaanza kuonja LINQ (Language Integrated Query) kama njia ya kufanya query kwenye collections.

15 min Video
21
Method muhimu za dictionary, list na generics

Somo hili litaeleza method muhimu zinazotumika mara kwa mara kwenye List<T>, Dictionary<TKey, TValue> na dhana ya generics kwa ujumla. Tutajifunza jinsi ya kuongeza data, kuondoa data, kutafuta data, na kufanya manipulations mbalimbali kwenye collections.

15 min Video
22
language integrated query (linq)

Somo hili litaeleza kuhusu LINQ (Language Integrated Query) katika C#. Tutajifunza maana ya LINQ, faida zake, jinsi inavyofanya kazi na collections, pamoja na aina kuu za query syntax. Tutaona mifano ya msingi ya Where, Select, OrderBy, GroupBy, Join, na nyingine.

15 min Video
23
linq advanced (aggregate functions & query helpers)

Katika somo hili tutajifunza LINQ advanced methods ambazo hutumika kwa uchambuzi wa data na kupata matokeo ya haraka: Aggregate Any All First Single Count Sum Average Max Min Tutaziona kwa mifano midogo midogo na mwisho tutaunganisha kwenye mfano mkubwa.

15 min Video
24
Utangulizi wa asynchronous programming

Katika somo hili tutajifunza: Maana ya synchronous na asynchronous programming. Nini maana ya Thread. Nini maana ya Task. Nini maana ya Task.Run().

15 min Video
25
kusimamia task

Katika somo hili tutajifunza: Namna ya kusubiri Task (Task.Wait). Namna ya kupata matokeo kutoka Task (Task.Result). Kufanya kazi nyingi sambamba (Task.WhenAll). Kusubiri kazi yoyote ikamilike (Task.WhenAny).

15 min Video
26
async na await

Katika somo hili tutajifunza: Tatizo la kutumia Task.Wait() na Task.Result. Nini maana ya async. Nini maana ya await. Jinsi ya kuandika method asynchronous.

15 min Video
27
kutumia tasks kwa kina na async/await

Katika somo hili tutajifunza: Kuunganisha async/await na Task.WhenAll. Kutumia Task.WhenAny. Kufanya kazi nyingi zinazotoa matokeo. Kutumia Task.Delay kama mfano wa kazi ndefu. Faida za kutumia mbinu hizi.

15 min Video
28
Parallel programming basics

Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya multithreading, tasks, na parallel programming. Kutumia Parallel.For na Parallel.ForEach. Faida na changamoto za parallel programming.

15 min Video
29
delegates NA events

Katika somo hili tutajifunza: Delegate ni nini na matumizi yake. Jinsi ya kufafanua na kutumia delegates. Multicast delegates. Events na event handling. Mifano midogo midogo ya kueleza kila kipengele.

15 min Video
30
event handling katika C#

Katika somo hili tutajifunza: Keywords muhimu kwenye event handling. Jinsi ya kufafanua event na subscriber. Aina kuu za events. Jinsi ya kuandika custom event. Orodha ya built-in events katika .NET. Angalizo kwa console vs applications halisi.

15 min Video
31
Maeneo gani event hutumika

Katika somo hili, tutajifunza: Wapi events zinahitajika katika program. Faida za kutumia events. Aina za situations ambapo event inakuwa muhimu. Mifano rahisi ya vitendo. Angalizo la console vs UI apps

15 min Video
32
Utangulizi wa file handling

Katika somo hili tutajifunza: Nini maana ya file handling. Class muhimu za C# kwa file I/O. Ku-create, read, write, append files. Mifano midogo midogo ya vitendo.

15 min Video
33
Kuandika na kusoma mafaili

Katika somo hili tutajifunza: Jinsi ya kusoma text files kwa njia tofauti. Jinsi ya kuandika text files kwa njia tofauti. Methods muhimu za StreamReader na StreamWriter. Mifano midogo midogo kwa vitendo.

15 min Video
34
Binary Files na File Streams

Katika somo hili tutajifunza: Nini maana ya binary files. Class muhimu za binary file handling: FileStream, BinaryReader, BinaryWriter. Jinsi ya kusoma na kuandika data binary. Mifano midogo midogo ya vitendo.

15 min Video
35
Directory Management

Katika somo hili tutajifunza: Class muhimu za kusimamia files na directories. Kuangalia existence ya files/directories. Ku-create, delete, copy, move files na directories. Methods muhimu za Path class. Mifano midogo midogo ya vitendo.

15 min Video
36
Jinsi ya kudhibiti zaidi mafaili hasa kuangalia error (exceptions)

Katika somo hili tutajifunza: Kwa nini file operations zinahitaji exception handling. Exceptions za kawaida kwenye file operations. Kutumia try-catch-finally na using. Best practices kwa file handling. Mifano midogo midogo ya vitendo.

15 min Video
37
Utangulizi wa Package na library (maktaba)

Katika somo hili tutajifunza: Nini maana ya library na package. Kwa nini tunatumia libraries na packages. Aina za libraries. Mifano midogo midogo ya kutumia libraries.

15 min Video
38
Matumizi ya maktaba (libraries) kwenye c#

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia maktaba (libraries) zilizopo tayari kwenye C# tukitumia Rider IDE. Tutazungumzia maana ya library, aina zake, jinsi ya kuzitumia kwa using, na jinsi ya kuinstall maktaba mpya kupitia NuGet (ambayo Rider nayo inaiunga mkono moja kwa moja).

15 min Video
39
Jinsi ya kutengeneza library yako mwenyewe (custom library) kwenye c#

Katika somo hili tutajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza library (DLL) yetu wenyewe, kisha kuitumia kwenye project nyingine. Library yetu itakuwa na class rahisi yenye method chache.

15 min Video
40
Jinsi ya kuunda na kusambaza package yako kupitia nuget

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kugeuza library tuliyotengeneza kuwa NuGet package (.nupkg), kisha kuisambaza na kuitumia kwenye project nyingine.

15 min Video
41
Aina za libraries na packages

Katika somo hili tutajifunza aina kuu za libraries na packages kwenye .NET, jinsi zinavyotofautiana, na wakati gani tutazitumia.

15 min Video
42
Utangulizi wa database programming kwenye c# (mysql & sqlite)

Katika somo hili tutajifunza: Database programming ni nini kwenye C#. Utangulizi wa ADO.NET (mfumo wa .NET wa kuwasiliana na database). Vipengele muhimu: Connection, Command, DataReader, DataAdapter, DataSet. Tofauti kati ya MySQL na SQLite. Jinsi ya kuandaa Rider IDE ili tuweze kutumia MySQL na SQLite kwenye miradi yetu ya C#.

15 min Video
43
kufanya connection na database (mysql & sqlite)

Katika somo hili tutajifunza: Connection string ni nini na vipengele vyake. Jinsi ya kufungua na kufunga connection kwa MySQL na SQLite. Hatua za msingi: Open(), Close(), na Dispose(). Kutumia using statement ili kuepuka memory leak. Mifano ya connection kwa MySQL na SQLite.

15 min Video
44
queries za msingi (select, insert, update, delete)

Katika somo hili tutajifunza: Kutumia MySqlCommand na SQLiteCommand. Jinsi ya kuandika na kutekeleza queries. Kufanya INSERT, UPDATE, DELETE. Kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia SELECT. Umuhimu wa kutumia using na parameterized queries (kuepuka SQL Injection).

15 min Video
45
Vipengele vya kiusalama - prepared statements NA parameterized queries

Katika somo hili tutajifunza: Kutumia prepared statements kwa queries zenye parameters. Kuandika parameterized queries ili kuzuia SQL injection. Tofauti ndogo za syntax kati ya MySQL na SQLite. Mifano ya INSERT, SELECT, UPDATE, DELETE kwa prepared statements.

15 min Video
46
json kwenye c#

Katika somo hili tutajifunza: JSON ni nini na kwa nini inatumika. Libraries zinazotumika kusoma na kuandika JSON kwenye C#. Kufanya serialization (object → JSON). Kufanya deserialization (JSON → object). Kusoma na kuandika JSON moja kwa moja kutoka/kwa files. Dynamic JSON na LINQ to JSON. Kutumia System.Text.Json (modern library ya Microsoft). Kutumia Newtonsoft.Json (popular library). Best practices na error handling.

15 min Video

Ready to start learning?

Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass

Enroll Now