Ili tuweze kuelewa zaidi course hii ya php, inatupasa kwanza tujuwe maana yake.
Baada ya kujifunz amaana ya PHP sasa tutajifunz ajinsi inavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu kazi za PHP
Kwanza tujifunze kuandaa kifaa chetu kwa ajili ya kujifunzia
Sasa tujifune jinsi ambavyo faili la PHP linavyokuwa
Katika somo hili utajifunza sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili itakwend akujifunz akuhusu variabl ena sheria za uandishi wake.
Somo lililopita tulijifunz akuhusu variable, sasa hapa tunakwenda kusoma kuhusu constant
Sasa tuzijuwe aina mbalimbali za data
Hapa tutajifunza namna ambavyo utaweza kubadili data kutoka aina moja kwenda aina nyingine
katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu function na kazi zake
Hii ni mifano ya function za string na integers.
Katika somo hili utakwend akujifunza mengi kuhusu array katika PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu jinsi ya kutumia operator kwenye PHP
Katika somo hili utakwend akujifunza Conditional Statements Katika PHP
Hii ni aina nyingine ya condition statement ambayo ni mbadala wa if else, elseif
hii ni katika condition statement ambazo zinafanya kazi kwene loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina a loop inayoitwa While Loop katika PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza matumizi ya tarehe na saa
Somo hili litakuletea orodha ya function ambazo zinafanya kazi kwneye tarehe na saa
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za global variable
Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass
Enroll Now