Ili tuweze kuelewa zaidi course hii ya php, inatupasa kwanza tujuwe maana yake.
Baada ya kujifunz amaana ya PHP sasa tutajifunz ajinsi inavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu kazi za PHP
Kwanza tujifunze kuandaa kifaa chetu kwa ajili ya kujifunzia
Sasa tujifune jinsi ambavyo faili la PHP linavyokuwa
Katika somo hili utajifunza sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili itakwend akujifunz akuhusu variabl ena sheria za uandishi wake.
Somo lililopita tulijifunz akuhusu variable, sasa hapa tunakwenda kusoma kuhusu constant
Sasa tuzijuwe aina mbalimbali za data
Hapa tutajifunza namna ambavyo utaweza kubadili data kutoka aina moja kwenda aina nyingine
katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu function na kazi zake
Hii ni mifano ya function za string na integers.
Katika somo hili utakwend akujifunza mengi kuhusu array katika PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu jinsi ya kutumia operator kwenye PHP
Katika somo hili utakwend akujifunza Conditional Statements Katika PHP
Hii ni aina nyingine ya condition statement ambayo ni mbadala wa if else, elseif
hii ni katika condition statement ambazo zinafanya kazi kwene loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina a loop inayoitwa While Loop katika PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza matumizi ya tarehe na saa
Somo hili litakuletea orodha ya function ambazo zinafanya kazi kwneye tarehe na saa
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za global variable
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia global variable kutuma na kupokea data za fomu ya html
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu supper global variable za session na cookie na vipi hutumika kuhifadhi data.
Ktika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu vipengele muhimu kwenye cookie na session
katika somo hili utakwenda kujifunza kupakia (upload) faili
Kaika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza global variable kutoka kwenye variable za kawaida
Katika somo hili utajifunza kuhusu tofauti ya global keyword Superglobal variable $GLOBALS Na define() kwa kutengeneza constant (thamani zisizobadilika)
Katika somo hili utakwenda kujifunza utaratibu wa kuandika tarehe na saa kwenye php
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Local Time na Timezones katika PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu Kazi na Umuhimu wa Unix Timestamp katika PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu php na database, hasa utajifunza jinsi ya kuunganisha php na database
Hapa utajifunza namna na hatuwa za kupitia ili kutuma na kupokea data kwenye database
Hapa utajifunza kutumia html form kwenye kutuma data kwenda kwenye database
Hapa utajifunza kuhariri taarifa zilizokuwa tayari zimehifadhiwa kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufuta data kwenye database kw akutumia php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushuhulika na ma faili na mafolda kwa kutumia php
Sasa tuone jinsi ya kuweza kukaguwa uwepo wa faili na folda kisha tulifute kama lipo
Hasa hapa tutajifunza jinsi ya kuangalia uwepo wa mafaili kwenye ma folda, kisha kuweza kuyasoa maudhui ya mafaili hayo.
Katika hatuwa hii tutajifunza jinsi ya kudili na mafaili kwa kukopi na ku move faili zima kutoka directory moja kwend adirectory nyingine.
atika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha maarifa yote kutoka masomo yaliyotangulia ili kutengeneza mfumo mdogo wa kuangalia mafaili, kusoma yaliyomo, na kuhamisha au kufuta mafaili kwa kutumia PHP pekee.
Somo hili litakufundisha jinsi ya kuweza ku Jinsi ya ku-upload faili kwa kutumia PHP na kuhifadhi taarifa zake kwenye database.
Katika somo hili utakwenda kujifunza vipengele vya kiusalama, na jinsi ya kuweza kulinda taarifa na data zinzotumwa .
SQL Injection ni moja katika njia ambazo hutumiwa katika kudukuwa website na blog.
Katika soo hili utajifunza Kuzuia XSS (Cross-Site Scripting) katika PHP na hatari yake kweye program
Hapa utajifunza jinsi ya kulinda zaidi usalama wa data zinazoingia na kutoka kwa kupitia session
Sasa tujifunze jinsi ya kuweza kulinda usalama wa mafaili wakati wa ku upload.
hashing na encryption ni moja katika njia za kuimarisha usalama kwenye program
Katika somo hili, tutajifunza kwa undani kuhusu hashing — jinsi ya kutengeneza hash, tofauti za hashing methods, na jinsi ya kufanya hashing salama kwa nywila za watumiaji.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kutumia encryption ya funguo moja (symmetric encryption) kwa kutumia openssl_encrypt() na openssl_decrypt().
Katika somo hili tutajifunza kuhusu Asymmetric Encryption – aina ya encryption inayotumia funguo mbili tofauti: public key kwa kusimba data na private key kwa kufungua data.
Katika somo hili tutajifunza kuhusu hashing — mbinu muhimu sana ya usalama, hasa kwa kuhifadhi password za watumiaji kwenye database.
Katika somo hili tutajifunza tofauti na matumizi ya encryption na hashing kwa data mbalimbali kama files, ujumbe, na data nyingine, tofauti na password pekee.
Hapa tutajifunza kuhusu mtindo mpya wa kuandika code kwa kutumia object oriented programming
Katika somo hili utajifunza ky work muhimu kwenye oop ambazo ni public, private, protected
Hapa utajifunza nadharia ya Constructor na Destructor katika PHP OOP
Katika somo hili utajifunza kuhusu Inheritance (Urithishaji) katika PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Polymorphism katika PHP OOP
Hapa tutajifunza kuhusu nadharia ya Abstract Classes na Interfaces katika PHP
Katika somo hili, tutachambua kipengele muhimu cha OOP katika PHP kinachoitwa Trait. PHP Traits zinaleta njia mbadala ya code reusability pale ambapo multiple inheritance haiwezekani.
Katika somo hili, tutajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP function mail().
Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass
Enroll Now