PHP - API Course

27 Lessons
14 Topics
Author: System
4.8 (120 Reviews)
Unlock Full Course Access

Please login or register to access all lessons, track your progress, and earn certificates.

Course Curriculum

1
Ni nini maana ya API

Hapa utakwend akujifunz amaana ya API na aina zake

15 min Video
2
Ainza za web API

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za web API na tofauti zao

15 min Video
3
API zinafanyaje kazi

Katika somo hili utakwend akujifunz amchakato mzima wa jinsi API zinavyofanya kazi

15 min Video
4
HTTP response status code

Hapa utajifunz akuhusu code za kujulisha majibu kutoka kwenye API

15 min Video
5
Mambo ya kuzingatia unapotengeneza API

Katika somo hili utakwenda kujifunza mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kutengeneza API.

15 min Video
6
Plan ya CRUD project kwa kutumia API

Tutakwend akuandaa plan kwa ajili ya project ya CRUD kwa kutumia API

15 min Video
7
Kuandaa database kwa ajili ya project ya CRUD

Baada ya kuijuwa plan ya project yetu, sasa ni muda wa kuandaa database.

15 min Video
8
Kuandaa API kwa ajili ya kutuma Data

Hapa utakwenda kujifunza maandalizi ya kuandika API

15 min Video
9
Jinsi ya kuandika API

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kuandika API kwa ajili ya kusajili mtumiaji

15 min Video
10
API ya kujisajili

Hapa tutakwenda kuona API nzima kutokana na somo lililotangulia.

15 min Video
11
Jinsi ya kutuma POST data kwneye API

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutuma data kwneye API

15 min Video
12
Kuandaa data kwa ajili ya ku login

Katika somo hili utakwend akujfunz ajinsi ya ku login kwa kutumia API.

15 min Video
13
Kuandika API ya GET method

Tutakwenda kuitumia API hii kwa ajili ya kuusoma taarifa za Mtumiaji.

15 min Video
14
API ya PUT method na ku edit taarifa z Mtumiaji

Hapa tutakwend akutengeneza API ambayo itatumia PUT method ili ku edit taarifa za Mtumiaji

15 min Video
15
Kutengeneza API ya DELETE method na kufuta Mtumiaji.

API hii itatumia userid ili kufuta taarifa za Mtumiaji.

15 min Video
16
Jinsi ya kutumia cURL kwenye get method

Utajifunz akutumia cURL kwneye API ya GET method

15 min Video
17
cURL kwenye API ya POST method

Jinsi ya kutuma data za POST method kwenye API kwa kutumia cURL

15 min Video
18
Ni nini maana ya API token

Hapa utajifunza maana ya API token na matumizi yake.

15 min Video
19
Njia zinazotumika kutuma API token

Hapa nitakutajia njia ambazo hutumika kutuma API token

15 min Video
20
Jinsi ya kutumia aina mbalimbali za kutuma API Token

Somo hili litafundisha jinsi ya kutumia aina nne z akutuma API token

15 min Video
21
Maana ya Json Web Token na matumizi yake

Hapa utajifunza maana ya Json Web Token na jinsi ya kuitengeneza

15 min Video
22
Jinsi ya ku decode json web token

Katika somo hili utakwenda kujifunza namna ambavyo json token inaweza kutumiwa kwenye API. na pia utajifunza jinsi ya ku verify json token.

15 min Video
23
Jinsi ya Kutumia json web token kwneye Project

Hapa tutakwenda kujifunza kutumia JWT katika API yetu kudecode na ku verify kisha kutumia data zilizomo kwneye jwt kama user_id.

15 min Video
24
Mambo ya kuzingatia

Haya ni mambo ya kuzingatia kulinda usalama wa API

15 min Video
25
Firebase Authentication part 1: Configuration za Project

Ktika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutengeneza project ya firebase

15 min Video
26
Firebase Authentication: Kuweka google login Button

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kuweka batani ya Google kwa ajili ya ku login kwenye project

15 min Video
27
Firebase Authentication : Kutumia php na Mysql

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia PHP na MySQL ili kuwez aku login ama ku register

15 min Video

Ready to start learning?

Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass

Enroll Now